pandagichiza
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 4,643
- 3,021
Hao mbona ni mashabiki wa Al Ahly kabisa na style yao ya kuwasha miotoHii Yanga ya Manji 2016 Wachambuzi wengi walikuwa Bado vijijini kwao. Wengine walikuwa Bado wako shuleni. Wanaamini kwamba Yanga ndo iliyoanza kushangilia wageni. Hata Ahmed Ally anasema Uwekezaji ameanza Mo Dewji. Kipindi hicho manji anapiga game hizi Mo Yuko Mbagala na Africa Lyons.