Emanuel Makofia
JF-Expert Member
- Jan 5, 2010
- 3,832
- 630
Jana nilikuwa namsikiliza huyo Kamanda Kova hata sijaelewa alikuwa anongea vitu gani
maneno yako yako ni mazito na ya simanzi
POLE NI UELEWA WAKO MDOGO WA SHERIA!
Jana nilikuwa namsikiliza huyo Kamanda Kova hata sijaelewa alikuwa anongea vitu gani
maneno yako yako ni mazito na ya simanzi
Jana nilikuwa namsikiliza huyo Kamanda Kova hata sijaelewa alikuwa anongea vitu gani
maneno yako yako ni mazito na ya simanzi
babukijana;
haya sheshe ndo hilo,na jamaa kakutwa na pingu na bastola risiti hana,watu wengine unawaona kama watiifu kumbe ni majambazi na waporaji,sasa hii unaweza sema polisi walimbambikia lakini inaonekana jamaa nae kabugi mahali,naona polisi wameamua tu kumshtua kama anajisahau kama na yéye mchafu vilevile.
Now I begin to realize that the police work is too big to be left to the school failures and drop-outs!
http://www.youtube.com/watch?v=cl2Ow-Goxvc
haya sheshe ndo hilo,na jamaa kakutwa na pingu na bastola risiti hana,watu wengine unawaona kama watiifu kumbe ni majambazi na waporaji,sasa hii unaweza sema polisi walimbambikia lakini inaonekana jamaa nae kabugi mahali,naona polisi wameamua tu kumshtua kama anajisahau kama na yéye mchafu vilevile.
KOVA kchemsha, nadhani walioko chini yake wamemdanganya kama Zombe alivyodanganywa wakati ule, Jerry alituhumiwa kupokea rushwa kubwaaaa, sasa suala si rushwa tena ni pingu, mwe KOVA give us a break!!!!!!!!!!!
Kama hamjawahi kuona mtu anaongopa, anajikanyaga, ni Muro wa jana usiku kwenye kipindi alichokiasisi yeye mwenyewe. Kashfa hii labda izimwe kisiasa tu.
ukitaka kujua Police hawatimizi wajibu wao ni pale nilipposafiri kwa gari la ofisi lenye namba za kibalozi toka Dar es salaam mpaka Kigoma, kweli hakuna polisi alienisimamisha wala nini, unafika mahala polisi anakupungia usimame ukipunguza mwendo akisoma namba za kijani anakuashiria uondoke, mimi nauliza wavunja sheria ni watu wenye magari binafsi tu ama ?
mimi naamini Rushwa iliostukiwa na Muro ndio chanzo cha yote yanayompata.
drama drama drama; this country will never cease to amaze me!
Hahahaha umenikumbusha mbali sana! Nilikuwa likizo nikaamua kufurahia nchi yangu kuendesha toka Dar hadi Mwanza, mpaka kufika Morogoro nilikuwa nimesimamishwa kama mara 6 hivi na traffic, kama kawaida yao hawana issue, ninawaachia 5000 naendelea! Baadaye nikamuua kutosimama jamaa wakipiga mkono nawaashia spot light! Nilitegemea labda wakati wakurudi nitaipata walaaaa dawa yao wakikusimamamisha na hakuna kizuizi wewe pita tu....Polisi wetu walio wengi ni vituko....school dropouts !
siujui nisemeje,
lakini kila kitu kinawezekana chini ya jua.
jerry Muro huenda alikutwa na pingu na bastola,
lakini je ni yeye aliyeziweka?
Polisi wana mbinu nyingi sana za kijasusi, huenda walivitupia humo kwenye gari ya muro bila ya yeye kujua, ili kumkomoa kutokana na mwandishi huyo kuwaumbua.
Tusubiri ukweli utajulikana, kwani wewe huwezi kuwekewa maiti kwenye buti ya gari lako, kisu na damu then wakapiga simu police ukakamatwa ?hakuna kitu kinachoshindikana bongo hii - sasa we subiri kesi iende mahakamani ndo utajua ukweli wote, usiongee kama mtu wa kijiweni hapa JF.
Ntakuitia TAKUKURU na wewe (au ikishindikana Kova hata yeye anahusu)