Video: Kova azungumzia sakata la Jerry Muro

Now I begin to realize that the police work is too big to be left to the school failures and drop-outs!
 
babukijana;
haya sheshe ndo hilo,na jamaa kakutwa na pingu na bastola risiti hana,watu wengine unawaona kama watiifu kumbe ni majambazi na waporaji,sasa hii unaweza sema polisi walimbambikia lakini inaonekana jamaa nae kabugi mahali,naona polisi wameamua tu kumshtua kama anajisahau kama na yéye mchafu vilevile.

Kaka acha mahakama ifanye kazi yake, hayo mawazo angetoa maamuma tungeelewa, mbona mapema sana kuanza kumuhukumu Jerry, au na wewe ndio walewale.
 
http://www.youtube.com/watch?v=cl2Ow-Goxvc
haya sheshe ndo hilo,na jamaa kakutwa na pingu na bastola risiti hana,watu wengine unawaona kama watiifu kumbe ni majambazi na waporaji,sasa hii unaweza sema polisi walimbambikia lakini inaonekana jamaa nae kabugi mahali,naona polisi wameamua tu kumshtua kama anajisahau kama na yéye mchafu vilevile.

Tusubiri ukweli utajulikana, kwani wewe huwezi kuwekewa maiti kwenye buti ya gari lako, kisu na damu then wakapiga simu police ukakamatwa ?hakuna kitu kinachoshindikana bongo hii - sasa we subiri kesi iende mahakamani ndo utajua ukweli wote, usiongee kama mtu wa kijiweni hapa JF.
 
KOVA kchemsha, nadhani walioko chini yake wamemdanganya kama Zombe alivyodanganywa wakati ule, Jerry alituhumiwa kupokea rushwa kubwaaaa, sasa suala si rushwa tena ni pingu, mwe KOVA give us a break!!!!!!!!!!!

Pingu zinapatikana na zinauzwa kwa maduka yauzayo siraha asitake kutudanganya hapa huyo Kova, Last year my step father alinunu siraha na pingu kule arusha na akaja nazo Shinyanga sasa leo hii amegeuza kuwa pingu hovyo kabisa na ndio maana nkasema kuwepo na mtoa habari maarumu wa police ambye atakuwa ameisha ichambua habari na kujua jinsi ya kuitoa kwa wananchi na sio anazani ni fashion kutokea kwa runinga.

 
Kama hamjawahi kuona mtu anaongopa, anajikanyaga, ni Muro wa jana usiku kwenye kipindi alichokiasisi yeye mwenyewe. Kashfa hii labda izimwe kisiasa tu.

Mpwa ebu tuelezee sie tulio kuwa mbali na runinga turichelewa kukiona kipindi cha Usiku wa Habari! alijikanyaga vipi?? mwagaaaa hapa chini izo newsssss

 
ukitaka kujua Police hawatimizi wajibu wao ni pale nilipposafiri kwa gari la ofisi lenye namba za kibalozi toka Dar es salaam mpaka Kigoma, kweli hakuna polisi alienisimamisha wala nini, unafika mahala polisi anakupungia usimame ukipunguza mwendo akisoma namba za kijani anakuashiria uondoke, mimi nauliza wavunja sheria ni watu wenye magari binafsi tu ama ?
mimi naamini Rushwa iliostukiwa na Muro ndio chanzo cha yote yanayompata.

Hahahaha umenikumbusha mbali sana! Nilikuwa likizo nikaamua kufurahia nchi yangu kuendesha toka Dar hadi Mwanza, mpaka kufika Morogoro nilikuwa nimesimamishwa kama mara 6 hivi na traffic, kama kawaida yao hawana issue, ninawaachia 5000 naendelea! Baadaye nikamuua kutosimama jamaa wakipiga mkono nawaashia spot light! Nilitegemea labda wakati wakurudi nitaipata walaaaa dawa yao wakikusimamamisha na hakuna kizuizi wewe pita tu....Polisi wetu walio wengi ni vituko....school dropouts !
 
Hahahaha umenikumbusha mbali sana! Nilikuwa likizo nikaamua kufurahia nchi yangu kuendesha toka Dar hadi Mwanza, mpaka kufika Morogoro nilikuwa nimesimamishwa kama mara 6 hivi na traffic, kama kawaida yao hawana issue, ninawaachia 5000 naendelea! Baadaye nikamuua kutosimama jamaa wakipiga mkono nawaashia spot light! Nilitegemea labda wakati wakurudi nitaipata walaaaa dawa yao wakikusimamamisha na hakuna kizuizi wewe pita tu....Polisi wetu walio wengi ni vituko....school dropouts !

Ntakuitia TAKUKURU na wewe (au ikishindikana Kova hata yeye anahusu)
 
siujui nisemeje,
lakini kila kitu kinawezekana chini ya jua.
jerry Muro huenda alikutwa na pingu na bastola,
lakini je ni yeye aliyeziweka?
Polisi wana mbinu nyingi sana za kijasusi, huenda walivitupia humo kwenye gari ya muro bila ya yeye kujua, ili kumkomoa kutokana na mwandishi huyo kuwaumbua.

mkuu kakubali ni vyake na anavimiliki miaka minne sasa!!!!!>
 
Tusubiri ukweli utajulikana, kwani wewe huwezi kuwekewa maiti kwenye buti ya gari lako, kisu na damu then wakapiga simu police ukakamatwa ?hakuna kitu kinachoshindikana bongo hii - sasa we subiri kesi iende mahakamani ndo utajua ukweli wote, usiongee kama mtu wa kijiweni hapa JF.

mbona hamuelewi?hajambambikiziwa tuache ushabiki na kufagilia hata kama mtu anaonekana ana makosa,hata hivyotusubiri mahakama,na kova anatoa ufafanuzi zaidi leo mchana tusubiri haya malumbano na ndio utapima nani anaongea ukweli,ila nashauri mtu yeyote anapokosea tumrekebishe hapahapa jamvini tusiwe na ushabiki tu eti kisa mtu ni ripota mashuhuri,huwezi jua upande wa pili wa shilingi.
 
Bongo kuanzia prezidaa, kamanda wa polisi wa mkoa, mpaka muandishi wa habari, wote wachovu .
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom