Mponjoli
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 668
- 152
Ndugu wadau
Nimekerwa sana na namna polisi wanavyoliendesha suala la Jerry Muro hasa kamanda Kova ambaye anatafuta cheap popularity kupitia sakata hilo.
Alianza kwa kusema Jerry muro ametishia na kudai rushwa ambayo ni makosa ya jinai...........
Akabadilisha na kusema Muro amekutwa na pingu ambayo ni kinyume cha sheria kuwa nayo...............
Mara akasema Muro alikuwa anashirikiana na matapeli sugu kwenye sakata hilo na kuwahukumu hao watu kwa kuwaita matapeli na kuwanyima dhamana...........
Nadhani umefika wakati wa KOVA kuachia ngazi maana anapingana na vita dhidi ya rushwa ambayo Jerry Muro ni mshikadau. Kama kweli Jerry Muro amefanya hayo anayotuhumiwa, PCCB wapo kwanini asiwapelekee file wao waendelee na kesi kuliko kuendelea kubadilisha mashitaka kila kukicha????
NAOMBA WADAU TUMUUNGE MKONO JERRY MURO KWA SUBSCRIPTION KWENYE THREAD HII KAMA PETITION KWA KUANDIKA .....
KAMANDA KOVA MUST GO.....
Najua KOVA na polisi kwa ujumla wanafuatilia kinachoendelea kwenye mtandao huu na watafanya kinachotakiwa.
Nimekerwa sana na namna polisi wanavyoliendesha suala la Jerry Muro hasa kamanda Kova ambaye anatafuta cheap popularity kupitia sakata hilo.
Alianza kwa kusema Jerry muro ametishia na kudai rushwa ambayo ni makosa ya jinai...........
Akabadilisha na kusema Muro amekutwa na pingu ambayo ni kinyume cha sheria kuwa nayo...............
Mara akasema Muro alikuwa anashirikiana na matapeli sugu kwenye sakata hilo na kuwahukumu hao watu kwa kuwaita matapeli na kuwanyima dhamana...........
Nadhani umefika wakati wa KOVA kuachia ngazi maana anapingana na vita dhidi ya rushwa ambayo Jerry Muro ni mshikadau. Kama kweli Jerry Muro amefanya hayo anayotuhumiwa, PCCB wapo kwanini asiwapelekee file wao waendelee na kesi kuliko kuendelea kubadilisha mashitaka kila kukicha????
NAOMBA WADAU TUMUUNGE MKONO JERRY MURO KWA SUBSCRIPTION KWENYE THREAD HII KAMA PETITION KWA KUANDIKA .....
KAMANDA KOVA MUST GO.....
Najua KOVA na polisi kwa ujumla wanafuatilia kinachoendelea kwenye mtandao huu na watafanya kinachotakiwa.