Kuna mtu yoyote amesikia tamko rasmi la Chama cha Mapinduzi (CCM) kuhusiana na unyama uliomkuta Dr Ulimboka? Tamko lolote, liwe la kupongeza, kulaani, kutaka uchunguzi (huru au wa polisi), lolote. Na kama CCM hawatoa tamko kwanini? Siku 10 hawajatoa tamko lolote?