Nyamizi
Platinum Member
- Feb 19, 2009
- 9,185
- 13,724
Mwacheni Mungu aitwe Mungu,kama alimpigania mikononi mwa mashetani watano,iweje ashindwe kumpigania sasa akiwa anapatiwa matibabu?Huyu bwana akipona kabisa na akarudia uzima kama aliokuwa nao mwanzoni basi kingwendu atakuwa next president. Wapigaji walikuwa wanajua vizuri wapi pa kupiga kwa lengo la kuua ama kumpa kilema cha maisha.