Wanajamvi nijuzeni mrembo kwa jina Vicky Kamata yukoje?
Kwa kuwa ni Cerebrity nadhani anahitaji kufaham nini anafanya na achievement zake not beyond thatzengwe lishaanza
tatizo ni kuwa aliyeuliza has a meaning which goes beyond than thatKwa kuwa ni Cerebrity nadhani anahitaji kufaham nini anafanya na achievement zake not beyond that
Kuna news za kusikitisha kiasi fualani, nilisikia hapa kwetu Magomeni Manda Street. Stori ilikuwa ndeefu, lakini jina la V.K lilikuwa kama main character. Kwa ufupi simfahamu hata kwa sura, na wadhifa wake ndani ya nchi hii, lakini ndani ya stori wasifu wake ulikuwa mzito kupita maelezo.
Mkuu rejea kusweka lupango kwa Liyumba.Mkuu Jews4rever hebu fafanua zaidi, story gani hasa nini hasa kilitokea?
Ametembea na Mohamed Mpakanjia...
au ulitaka nini hasa.
Kweli tunaenda so low!
mi natania tu maana naona request ya kitoto sana
.....Mwanamuziki,mfanyakazi bot,amemaliza shule MBA UK,.....alikuwa karibu na JK...what else do u need??
Mkuu rejea kusweka lupango kwa Liyumba.
Ni mwanamuziki, na wimbo wake niupendao ni ule ''MWANAMKE NA MAENDELEO."Wanajamvi nijuzeni mrembo kwa jina Vicky Kamata yukoje?