Mwinyi hakuruhusu biashara huria bali yale ni masharti ya SAPs kutoka IMF kabla nchi haijapewa mkopo

Masikio Masikio

JF-Expert Member
Apr 12, 2023
1,843
3,379
Mimi sio mwandishi mzuri bali mjitahidi kusoma hivyo hivyo
Baada ya vita vya kagera hali ilikua mbaya sana kiuchumi na ukizingatia kipindi hicho ussr inapumulia machine kiuchumi

Wale wenye akili timamu watakubaliana na mimi miaka ya 1980's mwanzoni hali ilikua ni ngumu sana kwa wananchi na serekali

Nyerere akabakiwa na option moja arudi kwa mabeberu aliokua anawatukana na kuwabeza ili apate mkopo utakaoikomboa nchi iliyo katika wakati mgumu sana

Nyerere alipewa masharti ya kupewa mkopo moja ya masharti hayo ni
Kuachana na ujamaa na kuadopt ubeberu

Nyerere alitafakari hayo masharti sana kukubali masharti ya imf maana yake ni kwenda kinyume na kile ambacho alikua akikihubiri; afanyaje ni bora angatuke ndo option nzuri na ngumu aliyobakia nayo

Nyerere kungatuka ulikua uamuzi wa kushangaza sababu japokua hali ilikua ngumu wananchi walikua na iman naye

Kabla ya kungatuka akamchagua mr yes man bwana Ali hassan mwinyi ili atekeleze matakwa ya SAPs kutoka IMF kabla nchi haijapewa mkopo

Mwinyi alifanya mabadiliko ila hakuweza kumaliza yote na baadae mkapa akaja kumalizia kama kuanzishwa TRA, ubinafsishaji na mengineo
 
Mimi sio mwandishi mzuri bali mjitahidi kusoma hivyo hivyo
Baada ya vita vya kagera hali ilikua mbaya sana kiuchumi na ukizingatia kipindi hicho ussr inapumulia machine kiuchumi

Wale wenye akili timamu watakubaliana na mimi miaka ya 1980's mwanzoni hali ilikua ni ngumu sana kwa wananchi na serekali

Nyerere akabakiwa na option moja arudi kwa mabeberu aliokua anawatukana ili apate mkopo utakaoikomboa nchi iliyo katika wakati mgumu sana

Nyerere alipewa masharti ya kupewa mkopo moja ya masharti hayo ni
Kuachana na ujamaa na kuadopt ubeberu

Nyerere alitafakari hayo masharti sana kukubali masharti ya imf maana yake ni kwenda kinyume na kile ambacho alikua akikiubiri afanyaje ni bora angutuke

Nyerere kungatuka ulikua uamuzi wa kushangaza sababu japokua hali ilikua ngumu wananchi walikua na iman naye

Kabla ya kungatuka akamchagua mr yes man bwana Al hajj hassan mwinyi ili atekeleze matakwa ya SAPs kutoka IMF kabla nchi haijapewa mkopo

Mwinyi alifanya mabadiliko ila hakuweza kumaliza yote na baadae mkapa akaja kumalizia kama kuanzishwa TRA, ubinafsishaji na mengineo
Ilibidi apatikane kiongozi mwingine wa kuzungumza na IMF/WB' maana Mwl J.K alikwishawaapia mabeberu kuwa "hatageuka jiwe". Kwa hiyo ni sahihi kuwa michakato ya soko huria ilianzishwa na Alhaj A.H.Mwinyi.
 
Mimi sio mwandishi mzuri bali mjitahidi kusoma hivyo hivyo
Baada ya vita vya kagera hali ilikua mbaya sana kiuchumi na ukizingatia kipindi hicho ussr inapumulia machine kiuchumi

Wale wenye akili timamu watakubaliana na mimi miaka ya 1980's mwanzoni hali ilikua ni ngumu sana kwa wananchi na serekali

Nyerere akabakiwa na option moja arudi kwa mabeberu aliokua anawatukana na kuwabeza ili apate mkopo utakaoikomboa nchi iliyo katika wakati mgumu sana

Nyerere alipewa masharti ya kupewa mkopo moja ya masharti hayo ni
Kuachana na ujamaa na kuadopt ubeberu

Nyerere alitafakari hayo masharti sana kukubali masharti ya imf maana yake ni kwenda kinyume na kile ambacho alikua akikihubiri; afanyaje ni bora angatuke ndo option nzuri na ngumu aliyobakia nayo

Nyerere kungatuka ulikua uamuzi wa kushangaza sababu japokua hali ilikua ngumu wananchi walikua na iman naye

Kabla ya kungatuka akamchagua mr yes man bwana Ali hassan mwinyi ili atekeleze matakwa ya SAPs kutoka IMF kabla nchi haijapewa mkopo

Mwinyi alifanya mabadiliko ila hakuweza kumaliza yote na baadae mkapa akaja kumalizia kama kuanzishwa TRA, ubinafsishaji na mengineo
Mkapa hakuanzisha tra,uwe unapekua mambo
 
Ilibidi apatikane kiongozi mwingine wa kuzungumza na IMF/WB' maana Mwl J.K alikwishawaapia mabeberu kuwa "hatageuka jiwe". Kwa hiyo ni sahihi kuwa michakato ya soko huria ilianzishwa na Alhaj A.H.Mwinyi.
Huanzishi kitu kisicho chako, yale yalikuwa na masharti ya IMF, hata Kenya waliyafuata hayo hayo. Ndiyo maana hata wao walianzisha vyama vingi, walibadilisha mfumo ukusanyaji kodi (KRA) n.k
 
Mimi sio mwandishi mzuri bali mjitahidi kusoma hivyo hivyo
Baada ya vita vya kagera hali ilikua mbaya sana kiuchumi na ukizingatia kipindi hicho ussr inapumulia machine kiuchumi

Wale wenye akili timamu watakubaliana na mimi miaka ya 1980's mwanzoni hali ilikua ni ngumu sana kwa wananchi na serekali

Nyerere akabakiwa na option moja arudi kwa mabeberu aliokua anawatukana na kuwabeza ili apate mkopo utakaoikomboa nchi iliyo katika wakati mgumu sana

Nyerere alipewa masharti ya kupewa mkopo moja ya masharti hayo ni
Kuachana na ujamaa na kuadopt ubeberu

Nyerere alitafakari hayo masharti sana kukubali masharti ya imf maana yake ni kwenda kinyume na kile ambacho alikua akikihubiri; afanyaje ni bora angatuke ndo option nzuri na ngumu aliyobakia nayo

Nyerere kungatuka ulikua uamuzi wa kushangaza sababu japokua hali ilikua ngumu wananchi walikua na iman naye

Kabla ya kungatuka akamchagua mr yes man bwana Ali hassan mwinyi ili atekeleze matakwa ya SAPs kutoka IMF kabla nchi haijapewa mkopo

Mwinyi alifanya mabadiliko ila hakuweza kumaliza yote na baadae mkapa akaja kumalizia kama kuanzishwa TRA, ubinafsishaji na mengineo
sasa angetaa kama alivyofanya nyerere hayo mabadiliko yangetokea,ungesikiliza hotuba yake ya mwisho aliyoitoa kama rais wa tanzania,kwenye bunge ungepata ukweli
 
Kama huna uwezo wa kuandika aya moja tu ya kiswahili kwa ufasaha unaweza kufanya uchambuzi sahihi wa Siasa za miaka zaid ya 25 iliyopita ?

Chuki hufubaza maarifa na weledi hata kwenye mambo mepesi mepesi
'…Maisha ni hadithi tu …ewe ndugu yangu kuwa hadithi nzuri kwa watakaohadithiwa '
Kwa hiyo unataka niandikaje .... au wewe unadhani wote tulijaliwa kusoma masomo kwa kiswahili ......mimi najua vizuri kiswaili wewe unajua vizuri kiswahili hivyo kiswaili na kiswahili vyote ni lugha tu... tumia akili nyerere kachukua nchi kutoka kwa mkoloni tukiwa duni sana asilimia chini ya 4% ya watz ndiyo walikuwa wanajua kidogo kusoma na kuandika .
 
Kwa hiyo unataka niandikaje .... au wewe unadhani wote tulijaliwa kusoma masomo kwa kiswahili ......mimi najua vizuri kiswaili wewe unajua vizuri kiswahili hivyo kiswaili na kiswahili vyote ni lugha tu... tumia akili nyerere kachukua nchi kutoka kwa mkoloni tukiwa duni sana asilimia chini ya 4% ya watz ndiyo walikuwa wanajua kidogo kusoma na kuandika .
Harafu ni Nyerere siyo nyerere.
 
Asingekataa maana ule ulikua ni mpango mkakati wa kuinusuru Nchi nzima, ndiyo maana system ikamwambia Nyerere angatuke faster na aingie Mwinyi haraka sana ili afanye utekelezaji!!
Labda sijaelewa.
Kwa hiyo Mwinyi alifanya vibaya kuyakubali yale masharti!?
Anastahili Lawama au pongezi kwa kuyakubali!?
 
Acha ujinga,tra haikuwepo wengine tumeiona 1997 ikiweka stika zake kwenye sigara na Bei kupanda,tra imeundwa 1995 July,huo muundo wa Sasa mkapa aliuanzisha lini!?
Muundo huu wa TRA ni wa kipebari na sio ki-socialist
Ni wa kibepari sababu umejikita kwenye indirect tax kwa asilimia kubwa

Kabla ya kuanzishwa TRA kulikua na mfumo wa kodi kama kodi ya kichwa, kodi ya baiskeli baada ya TRA kuanzishwa hizo kodi zikaondolewa ukaanzishwa mfumo wa kibepari wa kukusanya kodi

Huu mfumo wa kukusanya kodi ni wa kibepari ambao kipindi cha nyerere haukuwepo
 
Asingekataa maana ule ulikua ni mpango mkakati wa kuinusuru Nchi nzima, ndiyo maana system ikamwambia Nyerere angatuke faster na aingie Mwinyi haraka sana ili afanye utekelezaji!!
Kama kweli IMF walikuwa na nia nzuri ya kunusuru chumi za nchi masikini kwa nini walitupangia kila kitu. Haya ni baadhi;

Ulinzi - walitulazimisha tuache kupeleka vijana JKT.
Maadili - walitulazimisha kuacha fimbo mashuleni.
Masoko - walitulazimisha tufungue masoko yetu, mfano tukaruhusu mitumba.
Mabenki - tukauza NBC.
Mashirika ya umma - tuliuza hata yale yaliyokuwa na faida.
Elimu - walituletea syllabus za ajabu, mfano ile ya unified science (phy, chem na bio kuwa some moja).
Michezo - waliyaondoa yale mashindano ya michezo shule za msingi (umishmta) na sekondari.

Sasa ngoja nikupe mfano mmoja wa jinsi walivyotuulia uchumi wetu wa ndani kwenye sekta ya mazao ya biashara kama pamba. Walipoleta mitumba, ilikuja kuua mlolongo wote wa uchumi wa zao la pamba. Tukianzia shambani, viwanda vya mbolea na vya zana za kilimo, vile vya kutengeneza nyuzi na vitambaa vyote vilikufa. Siyo hivyo tuu bali hata mafundi cherehami wote biashara zao zliipukutika.

Kiufupi walituharibia utamaduni, elimu, maadili, uchumi, vipaji vya michezo na ulinzi. Moja ya hasara ya kuondoa michezo ilifanya watanzania kuacha kuangalia hata ligi yetu ya mpira na kuanza kuangalia EPL. Ni majuzi tuu kizazi hiki cha sasa ndo kimerudisha mapenzi na ligi yetu, chachu ikiwa ni kujengwa kwa kiwanja cha Mkapa.
 
Back
Top Bottom