Elections 2010 Vibweka vya Uchaguzi Igunga: Mabasi kukamatwa, masanduku kwa DC na mengineyo..

Kelele za mwizi huyooo nazo zinasaidia yale masanduku ya Tunduru kama siyo kelele walikuwa wamepanga Kikwete ashinde kwa kishindo cha 80%.
 
Hivi kweli, inakuja akilini kweli. Ninavyojua mawakala wote wanakagua maboksi yote kabla ya watu kuanza kupiga kura. Hizo kura bandia si wataziona?
Hizi kelele zinatuchosha, wajaribu kufikirisha ubongo.

kura sikisha pigwa vituoni na kuhesabiwa vinapelekwa kwa msimamizi wa uchaguzi [mkurugenzi ] hapo ndipo wanapochakachuwa kuingiza hizo kura hewa...swali langu kama zimehesabiwa kituoni wanahesabu nini tena ? mara nyingi matokeo ya vituo yanakuwa tafauti na ya mkurugenzi
 
Wana JF habari;

Leo asubuhi nimeamka vibaya hasa kwa kutune redio ya CCM (Uhuru FM) habari ya kwanza kusikia ni kua basi nne zenye watu waliobeba silaha kama Marungu, Panga na Bunduki madawa ya kulevya kama Bangi toka Mara zimekamatwa Tinde zikielekea Igunga kama maandalizi ya kufanya vurugu j2 kwenye uchaguzi.

Kwa mjibu wa redio CCM wanasemekana ni Vijana wa CDM waliosafirishwa kufanya vurugu hizo. Wadau mlioko maeneo husika Habari hiz ni za Ukweli? Au ni visingizio tu, manake siamini kama kweli hii ikitu inaweza kutokea, na sijui wamewajuaje kama ni watu wa CDM.

Naombeni kwa mwenye taarifa zaid atujuze!

Bukijo,Pole kwa kuharibiwa moody yako asubuhi.
Naomba nikupe taarifa kamili:

Kuna wadau na wapenzi wa mageuzi au washabiki wa chama cha chadema ambao waliamua wao wenyewe kwenda kuwapa moyo na kutia hamasa kwa wanaIgunga,watu hao wametokea mwanza na walikuwa ndani ya Costa 4 idadi yao inafikia 120 hivi.watu hao walikamatwa jana saa tano usiku.

Nikweli polisi wamewakagua na kuchukua maelezo yao,watu hao hawakukutwa na silaha zozote wala aina yoyote ya rungu inasemekana walitaka kuwabambikia vitu hivyo,lakini vijana hao wakawa wajanja baada ya kukataa kuondoka usiku walipoachiwa.wameondoka asubuhi na hakuna tatizo.
 
hapo kwenye nyekundu ni kwamba taarifa za uhakika huwa hazina kawaida ya kudai bali huwa zinaeleza kwa kuwa tayari zina uhakika! pili si mara ya kwanza kwa chadema kudai kuna kura za wizi, rejea mwaka jana kule tunduma mlipodai masanduku ya kura yameingizwa nchini kumbe vipodozi na msivyo waungwana mpaka leo mmeshindwa hata kuomba radhi wakati ile ilikuwa ni fitna ambayo ingeweza kuligawa taifa vipande,tatu,msipoanza kusema uongo kama huu hamtaonewa huruma na mengi na akina sabodo tena make wamekufadhilini magari na helkopta so mnatengeneza mazingiira ya kuwa pleased! bye,tarehe 2 october kichapo kikali igunga

Ya kule Tunduma bado ni fumbo. Kwanza tunapaswa kujiuliza ni nani aliyethibitisha kuwa mzigo ulikuwa ni vipodozi, utaambiwa RPC. Je palikuwa na upekuzi huru ama ndio wale wale walitumwa na magamba? Si jambo la uongo kuwa kura nyingi feki ziliingizwa mwaka jana. Yale maeneo ambayo nguvu ya umma haikuwa na nguvu sana, kura hizo zilipenyezwa na kuchakachua uchaguzi wa wananchi, yale maeneo ambayo kura zililindwa kama Mwanza, Arusha, Mbeya, Iringa, Musoma, Ubungo, Kawe na sehemu zingine hawakuthubutu.

Wana Igunga na CDM kwa ujumla hawa CCM wanaweza kufanya jambo lolote, hivyo hakuna kulala, hao vijana walitumwa Nzega iwe man to man, wakabe mpaka penalt ili CCM wakimbie kama walivyokimbia Tarime.

Mungu ibariki Tanzania. We are longing for a second liberation of our country.
 
Jamani wa TZ kuna haja sasa ya kuingia msituni kwa ajili ya kuikomboa nchi yetu kutoka mikononi kwa MAGAMBA serius...!Without doing so hayo mabadiliko tunayohubiri kila siku kua tunayataka yatakua ni ndoto

BBJ mimi nakubaliana nawe asilimia 100. Nimewahi kuandika sana humu kuwa CCM kamwe haiwezi kutoka kwa sanduku la kura, zinahitajika nguvu. Wakuu CDM mkitoka Igunga itisheni maandamano Dar kuipinga CCM, Taifa sasa limeiva kwa ukombozi, hakuna haja ya kupoteza muda. Tufanye kama Libya maandamano kisha mtutu mpaka watokomee.
 
Kama wanajua yalipo na yanavyopangwa kutumiwa kwanini wasitumie muda kupanga kuyakamata "live"? Ingekuwa ndio ushahidi mzuri kweli hasa kwenye mazingira ya digital camera na internet.. sasa yasipotokea Jumapili tutaamini kuwa yamedhibitiwa siyo? Na kama hayakuwepo? Chadema ina mawakala kwenye kila kituo?
Mbowe si kasema washapeleka vijana wao Nzega, we kazee vipi...!!
 
Ukiona kutapatapa kwa hvi basi tambua tayari mjusi kabanwa na mlango ...mie niko tabora na kwa habari ninazozipata ni kwamba magamba wako hoi zaidi ya kawaida,mlioko mbali msipende kuamini baadhi ya vyombo vya habari kwa sasa kwani 90% ya mnayoletewa ni chakachuzed news contrary to what is just happening in the battle field...na CDM ikiweza kudhibiti wizi wa kura tu tayari itakuwa imeshinda
 
Hivi kweli, inakuja akilini kweli. Ninavyojua mawakala wote wanakagua maboksi yote kabla ya watu kuanza kupiga kura. Hizo kura bandia si wataziona?
Hizi kelele zinatuchosha, wajaribu kufikirisha ubongo.

Umeshawahi siki ndude inaitwa KITUO HEWA?
 
Hwa tumewazoea, huwa hawashindi kiuhalali kabisa, cku zote lazima waibe, but this tym Igunga kitanuka. Hatukubali tena..lazima tuige mfano wa wenzetu wa Ubungo na Arusha
 
kura sikisha pigwa vituoni na kuhesabiwa vinapelekwa kwa msimamizi wa uchaguzi [mkurugenzi ] hapo ndipo wanapochakachuwa kuingiza hizo kura hewa...swali langu kama zimehesabiwa kituoni wanahesabu nini tena ? mara nyingi matokeo ya vituo yanakuwa tafauti na ya mkurugenzi
Mchezo huwa hivi,

Kura zitahesabiwa vituoni lets say chama pinzani mnapata 250 na CCM 200, mnaanza kushangilia, masanduku yanakusanywa kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ambapo kura bandia zinaingizwa, mgombea wa CCM au chama kidogo kilichoandaliwa na CCM kinajidai kulalamika turudie kuhesabu, huku nje wapinzani tayari wanashangilia, baada ya kurudia kuhesabu inaonekana kumbe CCM wana kura 300 hapo kura 100 zimeongezwa na mchezo unakwisha. Mara nyingi unapoona sehemu wanachelewa kutangaza juwa zoezi hili linafanyika kwa usiri mkubwa. Ilitokea Busanda CDM wakaanza kushangilia baadae wakaambiwa kura za vijijini zilikuwa hazijafika, ilitokea pia Shinyanga, Segerea na sehemu zingine, safari hii Ubungo ilishindikana kutokana na uimara wa mawakala kila kituo kilikuwa na mawakala wa CDM zaidi ya wawili.

Kitu cha kufanya kwa sababu wanaofanya biashara hii ni binabamu kama sisi ni kuweka waangalizi sehemu yalipo masanduku kuanzia siku ya kuletwa yakiwa matupu, mbali ya mawakala kuwepo kila kituo kuwe na watu tofauti wakufatilia mienendo ya masanduku usiku na mchana toka yalipohifadhiwa, usafirishwaji, upigaji kura, kuhesabu kura na utunzwaji baada ya kuhesabu hadi matokeo yatangazwe na wawe na mawasiliano ya haraka linapotokea tukio lolote lisilo la kawaida.

Mwisho njia zote za kuingia na kutoka Igunga na kwenye Halmashauri zijulikane na wawe na waangalizi usiku na mchana, wakidhibiti mianya hiyo nina uhakika matokeo yatakayotangazwa yatakuwa halali.
 
Yale yale ya MKAMA aliyesema kuwa kuna makomandooooo, yaani siasa za Bongo inabidi Mungu aingilie sana
..Na kale kazee Wilson Mkama sioni tofauti yake na Makamba...Sijui CCM hawa watu huwa wanawatoa wapi?
 
Bukijo,Pole kwa kuharibiwa moody yako asubuhi.
Naomba nikupe taarifa kamili:

Kuna wadau na wapenzi wa mageuzi au washabiki wa chama cha chadema ambao waliamua wao wenyewe kwenda kuwapa moyo na kutia hamasa kwa wanaIgunga,watu hao wametokea mwanza na walikuwa ndani ya Costa 4 idadi yao inafikia 120 hivi.watu hao walikamatwa jana saa tano usiku.Nikweli polisi wamewakagua na kuchukua maelezo yao,watu hao hawakukutwa na silaha zozote wala aina yoyote ya rungu inasemekana walitaka kuwabambikia vitu hivyo,lakini vijana hao wakawa wajanja baada ya kukataa kuondoka usiku walipoachiwa.wameondoka asubuhi na hakuna tatizo.
Asante sana kwa taarifa!
 
Hivi kwa nini NINI GREAT THINKER a-tune redio uhuru jamani unajua itakuwa inakuharibia siku just kama KIBONDE na Clouds yake!!!!!!!!!!!!!

Samahni lakini ASHAKUM SI MATUSI!
 
Mchezo huwa hivi,

Kura zitahesabiwa vituoni lets say chama pinzani mnapata 250 na CCM 200, mnaanza kushangilia, masanduku yanakusanywa kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ambapo kura bandia zinaingizwa, mgombea wa CCM au chama kidogo kilichoandaliwa na CCM kinajidai kulalamika turudie kuhesabu, huku nje wapinzani tayari wanashangilia, baada ya kurudia kuhesabu inaonekana kumbe CCM wana kura 300 hapo kura 100 zimeongezwa na mchezo unakwisha. Mara nyingi unapoona sehemu wanachelewa kutangaza juwa zoezi hili linafanyika kwa usiri mkubwa. Ilitokea Busanda CDM wakaanza kushangilia baadae wakaambiwa kura za vijijini zilikuwa hazijafika, ilitokea pia Shinyanga, Segerea na sehemu zingine, safari hii Ubungo ilishindikana kutokana na uimara wa mawakala kila kituo kilikuwa na mawakala wa CDM zaidi ya wawili.

Kitu cha kufanya kwa sababu wanaofanya biashara hii ni binabamu kama sisi ni kuweka waangalizi sehemu yalipo masanduku kuanzia siku ya kuletwa yakiwa matupu, mbali ya mawakala kuwepo kila kituo kuwe na watu tofauti wakufatilia mienendo ya masanduku usiku na mchana toka yalipohifadhiwa, usafirishwaji, upigaji kura, kuhesabu kura na utunzwaji baada ya kuhesabu hadi matokeo yatangazwe na wawe na mawasiliano ya haraka linapotokea tukio lolote lisilo la kawaida.

Mwisho njia zote za kuingia na kutoka Igunga na kwenye Halmashauri zijulikane na wawe na waangalizi usiku na mchana, wakidhibiti mianya hiyo nina uhakika matokeo yatakayotangazwa yatakuwa halali.

you are right bro.

kinachotakiwa ni kuwa na usimamizi imara tangu kwenye zoezi la kuhesabu kura kule vituoni na baadae kuyalinda masanduku ya kura kuhakikisha hakuna wa kuingia ovyoovyo. hila za CCM zitashindwa tu
 
Back
Top Bottom