Elections 2010 Vibweka vya Uchaguzi Igunga: Mabasi kukamatwa, masanduku kwa DC na mengineyo..

Wana JF habari;
Leo asubuhi nimeamka vibaya hasa kwa kutune redio ya CCM(Uhuru fm) habari ya kwanza kusikia ni kua basi nne zenye watu waliobeba siraha kama Marungu,Panga na Bundiki madawa ya kulevya kama Bangi toka Mara zimekamatwa Tinde zikielekea Igunga kama maandalizi ya kufanya vurugu j2 kwenye uchaguzi.
Kwa mjibu wa redio CCM wanasemekana ni Vijana wa CDM waliosafirishwa kufanya vurugu hizo.
Wadau mlioko maeneo husika Habari hiz ni za Ukweli?.Au ni visingizio tu,make siamini kama kweli hii ikitu inaweza kutokea,na sijui wamewajuaje kama ni watu wa CDM.
Naomben kwa mwenye taarifa zaid atujuze!

Ni habari ya kweli na haina shaka yoyote na wengi wao wamekutwa na kadi za cdm !
 
Kama wanajua yalipo na yanavyopangwa kutumiwa kwanini wasitumie muda kupanga kuyakamata "live"? Ingekuwa ndio ushahidi mzuri kweli hasa kwenye mazingira ya digital camera na internet.. sasa yasipotokea Jumapili tutaamini kuwa yamedhibitiwa siyo? Na kama hayakuwepo? Chadema ina mawakala kwenye kila kituo?
Mwanakijiji unakumbuka uchaguzi wa jimbo la Segerea sanduku lilikamatwa live tena ndani ya gari la Mahanga kwani alichukuliwa hatua gani hadi leo.
 
Jamani wa TZ kuna haja sasa ya kuingia msituni kwa ajili ya kuikomboa nchi yetu kutoka mikononi kwa MAGAMBA serius!

Without doing so hayo mabadiliko tunayohubiri kila siku kua tunayataka yatakua ni ndoto
 
Wakuu, hivi hiyo habari ingekuwa imetolewa na MwanaHalisi mngesemaje?


Angalau tungejaribu kuutafuta ukweli wake halafu tungejadili kwa ukweli wake au uongo wake. Tatizo hapa ni kwamba nature, mazingira na source ya habari haviaminiki. Na mkishamfahamu mtu kuwa ni mwongo, hata akisema ukweli, hamuwezi kuamini!
 
Niko mitaa ya Tinde hakuna kitu kama hicho
Basi CCM wameshayaaga mashindano,make Mfa maji..........
Ikidhibitika kwamba ni habari za uongo Redio yangu naiweka sandukuni kama adhabu ya kusababisha ijitune "Uhuru fm"
 
WIZI WIZI WIZI WA KULA CCM hawana cha kukwepa,mbinu zao ni hizo zinafahamika,kwani hata jimbo la Segerea wakati wa kuhesabu kura kule Anatouglo mtu si alikamatwa kaficha kura kwenye fuko la chips dume?akiziingiza ndani.hilo kwa magamba linajulikana.ila nguvu ya umma ipo!
 
Ni habari ya kweli na haina shaka yoyote na wengi wao wamekutwa na kadi za cdm !


Hatukutegemea maoni tofauti na haya kutoka kwako. Vilevile tunaelema ni njaa tu ndio inayowasumbua wachumia tumbo kama nyie. Washtue na wenzio akina Mwita 25, ff, kashaga, jeykey na wengine angalau wachangie hapa wajiongezee post ili mkajipatie ujira wenu kwa bwana wenu Nepi!
 
GreatThinkers,
Ni kweli kuna mabasi manne yalikamatwa Jomu-Tinde, watu mamehojiwa na baadaye wameruhusiwa.

Ifahamike pia kuwa Tinde ni kata ili iliyo Jimbo la Solwa ambalo liko Shinyanga Vijijini sehemu ambayo mwaka 2010 hapakuwa na Mgombea wa CDM bali CUF na CCM.

Hili ndilo Jimbo ambalo JeyKey oct-2010 alithubutu kutamka wakati wa kampeni akiwa kijiji cha Iselamagazi kuwa Wasukuma nyie hata mkiletewa Mchina mtamchagua tuu, hiyo ilitokana na Mwarabu mmoja darasa la nne mwenye pesa zake ambaye si chaguo lake kumshinda mtu wake na hatimaye kulichua jimbo tena.

Nataka kusema nini, Mabasi haya yametoa watu sehemu za Vijiji vya Mishepo,Ngokolo,Didia (luhumbo), Samuye, Nsalala, Mendo nk katika Jimbo hilo la Solwa.

Jamaa wameruhusiwa na nadhani saivi wamekaribia Nzega, kuna kila dalili kuwa hao ni watu wa Si Si Em, tatizo mawasiliano hayakuwa mazuri, Jamani kazeni uzi Igunga Si Si EM wanaleta mamluki.

Taarifa za Nzega pia mzifuatilie zinaweza kuwa za kweli kuwa kuna masanduku ya kura feki, Mwaka jana 2010 Masanduku kama hayo yalikutwa Misungwi, Jimbo amablo CDM alisimama Dada mmoja (Jane) ni shupavu ambaye nimeapa kumsapoti 2015 na yuko chini ya miaka 30.

Niwaombe ndg. kuiondoa Si Si Em inahitaji kujitoa na kuamua, bado nchi ina watu maskini na wajinga, ambayo kama wakichukia wanaghairi kupiga kura. Inashangaza sana Dar mmepumzika, Kanda ya Ziwa Si Si Em inapumulia Mashine na sasa tunakuja Igunga watu wamepata Elimu na hilo litabaki jimbo Gumu miaka yote ijayo.
 
Am not in a possition to belive what have been said by CDM,but guys trust me this can be done as it is always done.
Wish luck for Igunga.
 
hujajua siri hii? maofisi mengi dar yamepitishwa kiholela na yanafanyakazi kiholela, watu wanaogopa kukosa ugali, but natamani sana tupate mbinu ya kuwaunganisha hawa watu realy mateso ni mengi huku!
 
Back
Top Bottom