Apollo
JF-Expert Member
- May 26, 2011
- 4,920
- 3,218
tungeiamini na ndio ungekuwa ukweli
kweli kabisa ndugu, hata mimi ningeamini.
tungeiamini na ndio ungekuwa ukweli
Wana JF habari;
Leo asubuhi nimeamka vibaya hasa kwa kutune redio ya CCM(Uhuru fm) habari ya kwanza kusikia ni kua basi nne zenye watu waliobeba siraha kama Marungu,Panga na Bundiki madawa ya kulevya kama Bangi toka Mara zimekamatwa Tinde zikielekea Igunga kama maandalizi ya kufanya vurugu j2 kwenye uchaguzi.
Kwa mjibu wa redio CCM wanasemekana ni Vijana wa CDM waliosafirishwa kufanya vurugu hizo.
Wadau mlioko maeneo husika Habari hiz ni za Ukweli?.Au ni visingizio tu,make siamini kama kweli hii ikitu inaweza kutokea,na sijui wamewajuaje kama ni watu wa CDM.
Naomben kwa mwenye taarifa zaid atujuze!
Mwanakijiji unakumbuka uchaguzi wa jimbo la Segerea sanduku lilikamatwa live tena ndani ya gari la Mahanga kwani alichukuliwa hatua gani hadi leo.Kama wanajua yalipo na yanavyopangwa kutumiwa kwanini wasitumie muda kupanga kuyakamata "live"? Ingekuwa ndio ushahidi mzuri kweli hasa kwenye mazingira ya digital camera na internet.. sasa yasipotokea Jumapili tutaamini kuwa yamedhibitiwa siyo? Na kama hayakuwepo? Chadema ina mawakala kwenye kila kituo?
You are sinking. Vatican ilisifia lini?
Ni habari ya kweli na haina shaka yoyote na wengi wao wamekutwa na kadi za cdm !
heeee! Mbona umesema 'wengi wao' kumbe kuna wengine hawapo CDM au?
Imetoke tu bahati mbaya,ndo maana nikasema nimeamka vibaya!sasa na wewe unasikiliza redio ya ccm ya nini?
Wakuu, hivi hiyo habari ingekuwa imetolewa na MwanaHalisi mngesemaje?
Basi CCM wameshayaaga mashindano,make Mfa maji..........Niko mitaa ya Tinde hakuna kitu kama hicho
Ni habari ya kweli na haina shaka yoyote na wengi wao wamekutwa na kadi za cdm !
unamaanisha nini? au ndo mwendelezo wa mfumo na chuki?Hii habari haina ukweli ndani yake labda uwe umeishia madrasa
Wakuu, hivi hiyo habari ingekuwa imetolewa na MwanaHalisi mngesemaje?