"Hakuna vazi lolote duniani linaloitwa la taifa lililoundiwa tume. Hakuna! Kuwafanya Watanzania watumie muda wao kusaka vazi la taifa ni wild-goose chase (wehu) na diversionary tactic ili wasahau mambo muhimu yaliyowashinda watawala. Tusipotezeane muda wetu," Jenerali Ulimwengu
NB- 2004-2005 mwanzoni mwa utawala wa Rais Kikwete kulifanyika huu utapeli, waziri akiwa Emanuel Nchimbi,baadae tena baada ya miaka 2011 ukarudiwa tena huu utapeli Waziri akiwa Dr Hellen Mkangara
Naona mambo yamerejea tena,sio utapeli wa serikali huu?!!
Naona mambo yamerejea tena,sio utapeli wa serikali huu?!!