Uzi wa kupeana machimbo mbalimbali ya vifaa vya ujenzi na bei zake

duravent zinapatikana kwa bei gani?
Screenshot_20230510_181142_Facebook.jpg
 
Cement ya 42 ile kali inauzwa mtaani 17,500 na kuniletea mpaka home niongeze buku. Kuna jamaa nlimuona Facebook anajiita Michael Ngus aliniletea mpaka saiti Kwa 15,500 sharti tu uchukue kuanzia mifuko 100
Itakuwa upo Ujenzi Zone 😃
 
Naanza na Mimi
Nilipata mbao kutoka kwa Ustaadhi mmoja hivi pale Buguruni. Fundi wangu aliniambia nimtume yeye akachukue yeye kwa TZS 450/futi 2x2 na TZS 900/ft Kwa 4x2. Alisema nikienda mimi nitapewa mbao mbichi, zisizo na dawa au zenye vidonda.

Nilivyoenda mwenyewe nilipata kwa TZS 350 mbao za 2x2 na TZS 700 mbao za 4x2. Yawezekana najiona cheaper kumbe nami nimepigwa bado ila ni angalau kuliko hardware za hapo napojenga.

Bati geji 30 nilipata kwa TZS 11,500/mita kiwandani Dragon.
Kwenye mbao ulipigwa.
Maana mbao nzima ya ft 12 ni 2500/=
Eq ya Tsh 200/ Ft 2by2

The same kwenye 4by2
 
Cement ya 42 ile kali inauzwa mtaani 17,500 na kuniletea mpaka home niongeze buku. Kuna jamaa nlimuona Facebook anajiita Michael Ngus aliniletea mpaka saiti Kwa 15,500 sharti tu uchukue kuanzia mifuko 100
Habari.Unaweza nipatia namba ya huyo jamaa.?
 
Naanza na Mimi
Nilipata mbao kutoka kwa Ustaadhi mmoja hivi pale Buguruni. Fundi wangu aliniambia nimtume yeye akachukue yeye kwa TZS 450/futi 2x2 na TZS 900/ft Kwa 4x2. Alisema nikienda mimi nitapewa mbao mbichi, zisizo na dawa au zenye vidonda.

Nilivyoenda mwenyewe nilipata kwa TZS 350 mbao za 2x2 na TZS 700 mbao za 4x2. Yawezekana najiona cheaper kumbe nami nimepigwa bado ila ni angalau kuliko hardware za hapo napojenga.

Bati geji 30 nilipata kwa TZS 11,500/mita kiwandani Dragon.
Hapo kwenye mbao, je ni mbao zenye dawa au zimepigwa rangi ya ukili? 😆😆😆😂😂😂🤣🤣🤣🏃🏾‍♂️🏃🏾‍♂️🏃🏾‍♂️🚬🚬🚬
 
ukiona unauziwa mbao kwa futi ujue umepigwa. Mbao za kuezekea nunua 4 x2 za futi 12 kwisha kazi
Inategemea, mimi nilikutana na jamaa ambae anakwenda kuchukua mzigo mwenyewe Iringa, alinishauri ninunue za 2x6, 2x4, kisha nikachanisha kupata 2x2, gharama ya kuchana ni juu yake na mbao zimepigwa dawa urefu ni zaidi ya futi 18. Alinisimulia kwenye uvunaji kunakuwa na mbao za aina mbili na zote zinaingizwa sokoni. Za Serikali miti inakuwa imekomaa na zinakuwa zimepigwa dawa. Na zinazovunwa na wanakijiji nyingi miti inakuwa haijakomaa na hazijawekewa dawa, hivyo pale Buguruni huwa wanawalangua kwa kuwapigia rangi ya ukili (kijani)
 
Naanza na Mimi
Nilipata mbao kutoka kwa Ustaadhi mmoja hivi pale Buguruni. Fundi wangu aliniambia nimtume yeye akachukue yeye kwa TZS 450/futi 2x2 na TZS 900/ft Kwa 4x2. Alisema nikienda mimi nitapewa mbao mbichi, zisizo na dawa au zenye vidonda.

Nilivyoenda mwenyewe nilipata kwa TZS 350 mbao za 2x2 na TZS 700 mbao za 4x2. Yawezekana najiona cheaper kumbe nami nimepigwa bado ila ni angalau kuliko hardware za hapo napojenga.

Bati geji 30 nilipata kwa TZS 11,500/mita kiwandani Dragon.
Hii bati ya sh 11,500/ ni ya rangi au haya kawaida?
 
Back
Top Bottom