Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 3,897
- 5,355
SaFiView attachment 2587886
View attachment 2587887
Hizo unazo?
if yes unauzaje?
View attachment 2587889
SaFiView attachment 2587886
View attachment 2587887
Hizo unazo?
if yes unauzaje?
View attachment 2587889
Kwa dodoma kupata ni ngumu boss maan izi reject kupatikan kwake sio sana..Kwa Dodoma wapi tiles reject jamani!!
Itakuwa upo Ujenzi Zone 😃Cement ya 42 ile kali inauzwa mtaani 17,500 na kuniletea mpaka home niongeze buku. Kuna jamaa nlimuona Facebook anajiita Michael Ngus aliniletea mpaka saiti Kwa 15,500 sharti tu uchukue kuanzia mifuko 100
20,000/= mpaka 22,000/= kwa kariakoo.Bei ya Wall puty sasa hivi ni kiasi gani?
Bei ya Wall puty sasa hivi ni kiasi gani?
kama hii? naomba hilo chimbo la 16,000/=16,000-22,000
hawa niliwacheki hakuna wengine wenye bei chini kidogo?
kama hii? naomba hilo chimbo la 16,000/=View attachment 2625665
shukran nimekuelewa.21,000
16,000 ni B whiteskim ila ni Kama tope
Cheap is expensive
Kwenye mbao ulipigwa.Naanza na Mimi
Nilipata mbao kutoka kwa Ustaadhi mmoja hivi pale Buguruni. Fundi wangu aliniambia nimtume yeye akachukue yeye kwa TZS 450/futi 2x2 na TZS 900/ft Kwa 4x2. Alisema nikienda mimi nitapewa mbao mbichi, zisizo na dawa au zenye vidonda.
Nilivyoenda mwenyewe nilipata kwa TZS 350 mbao za 2x2 na TZS 700 mbao za 4x2. Yawezekana najiona cheaper kumbe nami nimepigwa bado ila ni angalau kuliko hardware za hapo napojenga.
Bati geji 30 nilipata kwa TZS 11,500/mita kiwandani Dragon.
Habari.Unaweza nipatia namba ya huyo jamaa.?Cement ya 42 ile kali inauzwa mtaani 17,500 na kuniletea mpaka home niongeze buku. Kuna jamaa nlimuona Facebook anajiita Michael Ngus aliniletea mpaka saiti Kwa 15,500 sharti tu uchukue kuanzia mifuko 100
Hapo kwenye mbao, je ni mbao zenye dawa au zimepigwa rangi ya ukili? 😆😆😆😂😂😂🤣🤣🤣🏃🏾♂️🏃🏾♂️🏃🏾♂️🚬🚬🚬Naanza na Mimi
Nilipata mbao kutoka kwa Ustaadhi mmoja hivi pale Buguruni. Fundi wangu aliniambia nimtume yeye akachukue yeye kwa TZS 450/futi 2x2 na TZS 900/ft Kwa 4x2. Alisema nikienda mimi nitapewa mbao mbichi, zisizo na dawa au zenye vidonda.
Nilivyoenda mwenyewe nilipata kwa TZS 350 mbao za 2x2 na TZS 700 mbao za 4x2. Yawezekana najiona cheaper kumbe nami nimepigwa bado ila ni angalau kuliko hardware za hapo napojenga.
Bati geji 30 nilipata kwa TZS 11,500/mita kiwandani Dragon.
Inategemea, mimi nilikutana na jamaa ambae anakwenda kuchukua mzigo mwenyewe Iringa, alinishauri ninunue za 2x6, 2x4, kisha nikachanisha kupata 2x2, gharama ya kuchana ni juu yake na mbao zimepigwa dawa urefu ni zaidi ya futi 18. Alinisimulia kwenye uvunaji kunakuwa na mbao za aina mbili na zote zinaingizwa sokoni. Za Serikali miti inakuwa imekomaa na zinakuwa zimepigwa dawa. Na zinazovunwa na wanakijiji nyingi miti inakuwa haijakomaa na hazijawekewa dawa, hivyo pale Buguruni huwa wanawalangua kwa kuwapigia rangi ya ukili (kijani)ukiona unauziwa mbao kwa futi ujue umepigwa. Mbao za kuezekea nunua 4 x2 za futi 12 kwisha kazi
Hii bati ya sh 11,500/ ni ya rangi au haya kawaida?Naanza na Mimi
Nilipata mbao kutoka kwa Ustaadhi mmoja hivi pale Buguruni. Fundi wangu aliniambia nimtume yeye akachukue yeye kwa TZS 450/futi 2x2 na TZS 900/ft Kwa 4x2. Alisema nikienda mimi nitapewa mbao mbichi, zisizo na dawa au zenye vidonda.
Nilivyoenda mwenyewe nilipata kwa TZS 350 mbao za 2x2 na TZS 700 mbao za 4x2. Yawezekana najiona cheaper kumbe nami nimepigwa bado ila ni angalau kuliko hardware za hapo napojenga.
Bati geji 30 nilipata kwa TZS 11,500/mita kiwandani Dragon.
Habari.Unaweza nipatia namba ya huyo jamaa.?