baunsamuoga
JF-Expert Member
- Apr 16, 2023
- 285
- 398
Mti huu ni dawa ya kuvunja uchawi wowote mwilini Kwa mtu aliyelogwa,, magamba ya mti weka ndan ya ndoo ya maji changanya na chumvi ya mawe na majani ya mbaazi/ majani ya mti wa mmbaauzi oga Kila siku asubuhi na jionKwa walioulizia muegeya ndio huu hapa, wengine wanauita Mvunge.
View attachment 2276653View attachment 2276654