Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 63,611
- 159,579
Usijali mkuuNashukuru sana kwa utayari wako
Usijali mkuuNashukuru sana kwa utayari wako
Ukiipata tushee picha yake itasaidia kichanga wangu anastuka stuka kweli. Utatusaidia sanaKuna dawa Moja nilipewa juzikati aiseeehhh ile dawa I salute Ninoumaa!!
1. Inatibu Aleg ya nyama... 2.Ni lubricant kwa wanawake wakavu kunako bibi 3. Inasaidia watoto wadogo waoshtuka shtuka 4.Minyoo kwa watoto na wakubwa yani ni nzuri sana nimepanda kuku wamekula hata haijamea vizuri naitafuta tena nikiipata ntaipiga picha
Uzi mzurii sana huuUkiipata tushee picha yake itasaidia kichanga wangu anastuka stuka kweli. Utatusaidia sana
Sana yaani tunajifunza mengi sana ni msaada mkubwa.Uzi mzurii sana huu
Sana yaani tunajifunza mengi sana ni msaada mkubwa.Uzi mzurii sana huu
Mods naona wamefanya yao nilijibu why wamefuta..Waungwana naulizia dawa ya kisukari, mgonjwa alikatwa kidole kidogo cha mguu mara ya kwanza, sasa hivi kimetokea kidonda kwenye kidole gumba cha mguu mwengine, anahofu ya kukatwa tena maana kimechimba sana... ajuaye dawa please msaada.
Khee! Sasa wamefuta kwa sababu gani jamani, hawataki tupate tiba 🥲Mods naona wamefanya yao nilijibu why wamefuta..
Kuna mods naona anabifu nami Leo ananifutia comments si mchezo!Khee! Sasa wamefuta kwa sababu gani jamani, hawataki tupate tiba 🥲
Dooh pole sana... ukipata picha please share maana bado sijaufahamu vema huo mti.Kuna mods naona anabifu nami Leo ananifutia comments si mchezo!
Anyway sukari ikifikia level ya vidonda ni ngumu kuidhibiti.
Kuna mti unafanana na mzambarau unaota sehemu zenye maji magome yake mkate ya shinani awe anachemsha na kunywa husaidia Sanaa nkipata picha ake nitauweka.unafanana na mzambarau Hadi matunda ila wenyewe una umbile kubwa.
Mkuu alovera poli dozi ikojeAlovera Poli ni dawa ya kurudisha kumbukumbuku Kwa mtu anayesahau mara Kwa mara lenyewe ni kubwa ivi afu ukilitafuna ni litamu si chungu kama haya ya kupandwa nikirudi kijijini nitapiga picha matumizi yake unalitafuna lenyewe likiwa bichi kipande kidogo
Mbili dawa ya kutibu mkanda jeshi au Kwa jina jingine unaitwa moto wa Mungu haya hadi niwe napicha pia manaa jina sjajui ila nikiyaona nayafahamu ni majani ambayo Huwa yanapenda kuota katikati ya mti au vichaka Yana vimajani vyembamba unachukua unatwanga unpaka sehemu ambayo imeathirika
Unalo mkuuNitamjuaje mchawi? Kuna ndugu anatuhumiwa ni mwanga leo kaja kwangu
Mkuu mbona kama malaikaView attachment 2341087
Angelus madragora flowers of Latin America
Waafrika kwa kudanganyana jamani ntakuja uanaPressure hasa ya kupandaa
Tafuta maua hayo chuma chemsha uww wanywa mpaka siku 11..
Ni mjarabu.
Rudia rudia dawa unapoona mabadiliko.View attachment 2730300
OkHaya ni majani yaliyotuzunguka majumbani mwetu ndiyo yanayoitwa # Paragis grass as mentioned in thread aboveView attachment 2264759
Tushakipata mkuu
Mkuu ikiwa kama ashazikwa ila badae mmegundua ni mgomba mlizikq ?LEO TUANGALIE, NI JINSI GANI UNAWEZA KUMUOKOA MTU ALIYEKUFA KIMAZINGAOMBWE (MSUKULE)
Kila Chenye Uhai, Hakika Kitakufa, Hili Hakuna Wa Kulipinga .
Lakini, Kuna Baadhi Ya Vifo Huwa Vinatatanisha Sana!
Waweza Kuta Mtu Amekufa, Ana Siku 3, Lakini Ukimgusa, Bado Ana Joto!
Mwingine Hata Kutingishika, Anatingishika!
JINSI YA KUMRUDISHA MTU ALIYEKUFA KIMAZINGAOMBWE (MSUKULE):
Ukiona Mtu Kafa Kifo Kinachotatanisha, Mkahisi Yaweza Kuwa Ni Msukule, Msimlilie, Wala Msimuoshe, Fanya Hivi:
Nenda Kwenye Mgomba, Chukua Kamba Tatu Za Mgomba, Kisha Nenda Alipolazwa Marehemu.
Kirha Muweke Kama Inavyowekwa Maiti Kwenye Sanda, Tumia Shuka Nyeupe, Kisha Funga Kama Ifungwavyo Maiti, Kisha Sema:
BISMILLAHI RAHMANI RAHIIM: NAKUOMBA MWENYEEZI MUNGU KWA UWEZO WAKO NA NGUVU ULIYOIWEKA KWENYE MGOMBA, NIONESHE KILICHOLALA HAPA JUU.
Ikiwa Ni Msukule, Papo Hapo Mtaona Mabadiliko, Marehemu Hataonekana, Litabaki Limgomba !
Mkimtafuta Huyo Marehemu, Mtamuona Hapo Hapo Nyumbani, Tena Lazima Atakuwa Nyuma Ya Mlango!
Mchawi Atakimbia
Kalibuni morogoro mjini ndugu zangu 🙏🏽
Watu wa njombe bwana ..Natalia mkuuKuna juice ya tende kumbe
Kwa muda gani na nakimwaga liniUkitaka kufukuza negative energy nyumbani kwako.
Chukua chombo kilicho transparent (glass) jaza maji safi pia weka na chumvi ya mawe changanya na white vinegar then kiweke pale sebuleni kwako utakuja kunishukuru.
Haina formula ya time, nikutumia tu common sense ukiona yamechafuka kwa vumbi unabadilisha.Kwa muda gani na nakimwaga lini
Apo ad mtaalam husika akusaidieMkuu ikiwa kama ashazikwa ila badae mmegundua ni mgomba mlizikq ?