BIN NUN
JF-Expert Member
- May 23, 2014
- 3,255
- 6,427
Haya sawa .
Haya sawa .
Lala na pakti ya chumvi ya mawe pembeni mwake atostukaUkiipata tushee picha yake itasaidia kichanga wangu anastuka stuka kweli. Utatusaidia sana
Pole mtaalamu wehu wengi humu.ww chapa kaziHaya sawa .
Hahaha ndo maana sijataka mengi unaweza jibizana na mtu kumbe ni mgonjwa..Pole mtaalamu wehu wengi humu.ww chapa kazi
Kama yupo kijijini mwambie apikiche majani ya tumbaku halafu apake kwenye nyayo za miguu..Hivi waungwana nini dawa ya insomnia (kukosa usingizi) na ndoto za kutisha .Najiran yangu akiingia kitandan saa 3 usingizi saa 9 na bado anastuka anasema anaona mapicha ya mizoga ya kutisha .
Asante sana, nimeambiwa pia kumuogeshea maji yenye kitunguu swaumu kilichopondwa nataka nijaribu pia.Lala na pakti ya chumvi ya mawe pembeni mwake atostuka
Hata ukimpaka kitunguu saumu paji la uso,au Vicks paji la uso utapata matokeo mazuri.Asante sana, nimeambiwa pia kumuogeshea maji yenye kitunguu swaumu kilichopondwa nataka nijaribu pia.
Kunywa k vant utanishukuru baadaeDawa ya kunyandua sana
Kunywa k vant utanishukuru baadae
Huo unaitwa mzigwaKuna mtu aliwahi kuniambia mmea huu ni dawa ya maradhi mengi mno naomba mwenye kuufahamu atujuze
View attachment 2265827
Hutibu shida za uzazi Kwa wanawake, maumivu ya wkt wa hedhi, ni swala la kuchemsha unapiga glass moja asubuhi na jion kabla ya mloKuna mtu aliwahi kuniambia mmea huu ni dawa ya maradhi mengi mno naomba mwenye kuufahamu atujuze
View attachment 2265827
Tumia mchanganyiko wa asali mbichi original nyuki wakubwa/ wadogo na mdalasini wa India chukua wa magome saga unga hivyo vitu vichanganye Kisha uwe unatumia kijiko kimoja Kila baada ya kusafisha kinywa chako jion na asubuhi kabla hujala chochote, pia maji ya huo mdalasini sukutua Kila unapo swaki!Wakuu mwenye dawa ya kuondoa harufu mbaya ya kinywa
Na majani ya mkarafuu ukichemshwa ni maji yake ni dawa/ tiba jino lolote linalosumbuaKarafuu ni dawa ya jino lililooza linalouma...
Unaisaga unaweka kwenye jino liinaacha kuuuma...
Mara nyingi mchai chai upo vzr piaNaomba kujua mimea inayofukuza nyoka majumbani ili tuipande..
Kuna mti frani Huwa unatoa matunda kama mibuyu/ madodoki ambao kiimani wanaume wengi baadh ya maeneo hususan pwani Huwa wanatumia kuchanjia ili wawe na zakali kubwa, mti hii jina lake nimelisahau! Sasa ukipata mti huo ajaribu kuchukua magamba yake anaweka kwenye maji ya kuoga changanya na chumvi ya mawe awe anatumia kuoga Kila siku inaweza msaidia!Shida yule karogwa. Walikua wanagombea mwanamke na jamaa 1.