Mohamedex121
JF-Expert Member
- Jan 27, 2022
- 1,688
- 3,143
- Thread starter
- #41
Darasa la Mafundisho ya ndoa linaendelea kama kawaida leo tukizungumzia suala la MAHARI na MISINGI yake kisheria
Hapa utawapata wakina dada zaidisafi sana
POINT OF CORRECTION
i. Kuhifadhi jamii na zinaa
HAPANA.
Njoo makazini uone wale wanandoa wanaishi mbali na ndoa zao (mke Dom na mume dar) wanavyofanya hiyo zinaaaa, mpaka ma single tunabaki kushangaaa.
iii. Kujenga mapenzi, huruma na ushirikiano katika familia
HAPANA.
Ni mara ngapi umesikia na kushuhudia ufisadi na dhuluma kwenye ndoa?
iv. Kukuza uhusiano na udugu katika jamii
HAPANA
Hawa watu ni hatari kwa ustawi wako.
Waendekezeee tu ndipo utakaponielewa.
v. Kukilea kizazi katika maadili
HAPANA
Wanavyochepuka hivi wanandoa kwa wanandoa, unazungumzi maadili gani hayo?
vi. Kumuendeleza mwanaadamu kiuchumi
Kwani hujui ile mnapata utajiri tu na talaka hapohapo.
Wanawake wa sasa unawajua vizuri wewe kwenye swala la mali?
"" Athari (madhara) ya kutokuoa
Kuenea kwa magonjwa ya zinaa mfano, maambukizi ya UKIMWI. ""
Ukimwi ulivyoingia miaka ya 2000 hivi unajua kuwa Wanandoa ndio waliokufa balaaa ndugu?
I STAND TO BE CORRECTED ila kwasasa NDOA SIO ISHUU KABISAAAAA.
#YNWA
Acha awapate mademu wapate Somo la ndoaHapa utawapata wakina dada zaidi
Karibu katika darasa letu. Upate maarifaSawa
Hapana hili ni darasa la kupeana maarifaMmeamua kufanya kazi ya mashangazi ?
Kabisa mkuu watu bado hawana uwelewa wa masuala ya ndoaUe
Uelewa na Ufahamu juu ya suala la ndoa ni shidraaa sana...
Hii ndoa kwa msingi wa Uislamu.Safi sana.DARASA NO 1; MAANA YA NDOA, UMUHIMU NA ATHARI ZAKE KIJAMII.
MAANA YA NDOA.
Ndoa ni mkataba wa kuishi pamoja kati ya mume na mke kwa kufuata utaratibu uliowekwa na jamii.
Kisheria: ni mkataba wa hiari wa kuishi pamoja kati ya mume na mke kwa kuzingatia sharti na taratibu zilizoweka na jamii husika
UMUHIMU WA NDOA KIJAMII.
i. Kuhifadhi jamii na zinaa
- Ndoa hukinga wanandoa na jamii kwa ujumla na zinaa kwa kuhifadhi tupu zao na kukidhi matamanio baina yao.
ii. Kuendeleza kizazi cha mwanaadamu kwa utaratibu mzuri
- Lengo la ndoa pia ni kuhifadhi, kutunza na kuendeleza kizazi cha mwanaadamu bila kuzaliana kiholela.Hapa pia usaidia ustawi wa jamii
iii. Kujenga mapenzi, huruma na ushirikiano katika familia
- Ndoa huleta utulivu katika moyo kati ya wanandoa na kupatikana huruma, mapenzi na ushirikiano baina yao
iv. Kukuza uhusiano na udugu katika jamii
- Uhusiano na udugu kati ya wanafamilia walioana huimarika na kuongezeka zaidi kuwa ukoo, kabila, taifa, n.k
v. Kukilea kizazi katika maadili
- Ndoa inakusudiwa kuwa kiungo cha kulea na kuelimisha kizazi katika tabia na maadili mema.
vi. Kumuendeleza mwanaadamu kiuchumi
- Ndoa huchochea wanandoa na wanajamii kwa ujumla kujijenga kiuchumi ili kukidhi mahitaji muhimu ya kimaisha na kibinaadamu.
ATHARI (MADHARA YA KUTOKUOA)
Kuenea kwa magonjwa ya zinaa mfano, maambukizi ya UKIMWI. nk, kizazi kisicho na maadili, kukosekana kwa malezi kwa mtoto, watoto wa mitaani, kuingezeka kwa ongezeko la watu tegemezi (dependents population) , kutokuwa na muunganiko , upendo, na mshikamano katika jamii, n.k
View attachment 2811449
Karibu sana mkuu kupata maarifa .Hii ndoa kwa msingi wa Uislamu.Safi sana.
Karibu sana.Nipo nafuatilia darasa...
Karibu sana katika Darasa la Mafundisho ya ndoaHamna kuoa labda mzungu ila Kama mwafrika unaenda kuwa maskini
Kataa ndoa
Maajabu ya Ndoa ya mwafrika
1.anashinda kanisani kumchangia mchungaji ajengewe nyumba yy akitaka kujenga anaombewa
2. Anacheza mchezo kila siku kupitia hela ya matumizi watoto wanakosa chakula akipata hela ananunua vyombo na Nguo badala ya kufungua biashara
3.anamheshimu mchungaji kuliko maisha yake
4.anakata mauno kanisani huku nyumbani hata kucheza hawezi
Ndoa inahitaji mtu asiyekuwa na maana yoyote ili aweze kuishi na mwanamke
5.kataa ndoa kwa faida ya akili na mwili