Mohamedex121
JF-Expert Member
- Jan 27, 2022
- 1,690
- 3,146
- Thread starter
- #81
Darasa letu litaendelea kesho tukijaaliwa tutazangumzia wajibu wa MKE KWA MUMEWE.
#shukurani
#shukurani
Are you sure?Ndoa ni jambo la kipuuzi
I love youAre you sure?
I love you more....hujajibu swali mkuu?I love you
You know what ndoa ni jambo la kipuuzi and I'm fucking sure about thatI love you more....hujajibu swali mkuu?
Ni kweli usemayo ila kinachofanya ndoa kuwa hivi ni tamaa ya ngono na pesa....kwa mwanamke na kwa mwanaumeYou know what ndoa ni jambo la kipuuzi and I'm fucking sure about that
You are trying to change ma altitude and convincing me about something. I'm familiar wit your game.Ni kweli usemayo ila kinachofanya ndoa kuwa hivi ni tamaa ya ngono na pesa....kwa mwanamke na kwa mwanaume
nikiwa na MTU nimpendaye tena karibu napenda kusex Mara 5 kwa wiki.labda awe mbali ndiyo nakuwa sina namna.You are trying to change ma altitude and convincing me about something. I'm familiar wit your game.
Marriage is shit.
Wewe una tamaa ya ngono ?
Karibu sana mkuu kupata maarifa.Jambo jema
Wengjne ndoa zetu bado changa
Msihamasishane uzinzi, kama mpo tayari kufunga ndoa. Basi ni kheri mkafanya hivo kuliko kuwa kwenye uchumba wa muda mrefunikiwa na MTU nimpendaye tena karibu napenda kusex Mara 5 kwa wiki.labda awe mbali ndiyo nakuwa sina namna.
Usimhamasishe dada wa watu uzinzi jaribu kueshimu mipaka sio kila mwanamke unayekutana nae ni wakumtongoza. Kuwa na heshima kijana.I love you
Wewe ukiwa na mwanajeshi si ndio mali yake unawapa wa nje kabisa maana wao kozi za miezi kadhaa kawaida mission za miaka kawaida wapo mbali na home muda mwingi.nikiwa na MTU nimpendaye tena karibu napenda kusex Mara 5 kwa wiki.labda awe mbali ndiyo nakuwa sina namna.
Kwani watu wawili wazima wakipeana raha kuna shida gani ?Msihamasishane uzinzi, kama mpo tayari kufunga ndoa. Basi ni kheri mkafanya hivo kuliko kuwa kwenye uchumba wa muda mrefu