Mohamedex121
JF-Expert Member
- Jan 27, 2022
- 1,688
- 3,142
Karibu katika uzi maalumu wa kuelimishana masuala yanayohusu ndoa katika jamii zetu.
Ndoa ni katika mambo muhimu sana kwenye maisha ya mwanadamu. ndoa imebaba nusu nzima ya maisha ya mwanadamu baada ya kwisha barehe.......
Hivyo suala la ndoa alihepukiki katika maisha yetu ya kila siku.
Ndugu msomaji nakukaribisha katika uzi huu maalumu kupeana nasaha na ushauri juu ya masuala mbalimbali yanayohusu ndoa....
Waleykum Salam
Ndoa ni katika mambo muhimu sana kwenye maisha ya mwanadamu. ndoa imebaba nusu nzima ya maisha ya mwanadamu baada ya kwisha barehe.......
Hivyo suala la ndoa alihepukiki katika maisha yetu ya kila siku.
Ndugu msomaji nakukaribisha katika uzi huu maalumu kupeana nasaha na ushauri juu ya masuala mbalimbali yanayohusu ndoa....
Waleykum Salam