Lakini dada NK wanawake wa hivo ni waaminifu sana kwenye ndoa vitu nitanunua tu lakini hata nikisafiri mwaka na amani, halafu si mpaka nifanye kosa kubwa ndio anavunja vitu ?Kuvunja vitu ni kuppenda, wivu au hasira? Sioni uhusinao kati ya uharibifu wa mali na kupenda. watu wa hivyo ni wabaya sana kwani jua wazi maisha ya ndoa ugomvi wa hapa na pale ni part na parcel. Sasa atakuwa anakutia hasara kila siku. mkigombana anavunja vioo vya gari. Kesho anavunja TV. Mtaendelea kweli. I hate that. My colleague had a similar problem. Mkewe wivu mbaya. Yaani kila siku wanaanza kununua vitu upya ndani. Mara utasikia wife kachoma moto nguo. Mara wife kavunja vioo vya gari. Taabu kweli kweli.