Uvumi wa kukamatwa kwa karatasi za kupigia kura Tunduma

mungu anaona yote haya na ndio maana anawaumbua CCM..nanyi wana wa tanzania mliokamata shehena hiyo ...hakika kuna siku mtakuja kuvikwa nishani kwa uzalendo wa nchi yenu na ujasiri mlioonyesha...
 
mods, thread hii iunganishe na ya "karatasi za kupigia kura zakamatwa mpakani tunduma"
 
Ishaletwa hapa mkuu asubuhi ya leo. Kama ni kweli kazi ipo. Tanzania itabaki kuwa masikini as long as CCM wako madarakani Mods, imejirudia hii!
 
Uzuri wametumia magari ya Bakhresa hivyo kuwasukumizia wapinzani haitawezekana. Hili ni sikio la kufa tu........!!!

Lakini sidhani kama Bakhresa alikuwapo huko zilikopakiwa. Nafikiri alikuwa ni Dereva na Utingo tu, na kama ilivyosemwa kuwa karatasi za kura zimefichwa kwenye maboksi ya vipodozi!!!!! So kuna uwezekano hata huyo Dereva na utingo wasijue nini kilichopakiwa katika gari lao, maana wakijua tu mchezo mzima unakuwa umeingia chooo cha kike, haitokuwa SIRI tena!!!! Wakulaumiwa ni huyo aloinjinia uchapishaji na usafirishaji (Kama hizi habari ni za kweli!!!) na sio Bakhresa au Derevaa wake
 
Mene mene Tekkeli, Perres!

Nilishajaribu kuonya huko nyuma kwamba, JK asipoangalia atakuja pata shock ya mwaka. This is just the begining and we will see more.
Atashangaa hata anaotegemea waibe kura hawatii amri yake hapo 31/10/10. Hakuna anayetaka kujikuta kwa Ocampo baada ya uchaguzi.
Namshauri tu, awe mpole, aache demokrasia ichukue mkondo wake, na astaafu kwa amani baada ya kushindwa ( If at all atashindwa).
Na lingine, aombe truce ili kama atashindwa asije akawajibika kwa upuuzi huu ambao anataka kutufanyia wa Tanzania wenzake.
 
Ishaletwa hapa mkuu asubuhi ya leo. Kama ni kweli kazi ipo. Tanzania itabaki kuwa masikini as long as CCM wako madarakani Mods, imejirudia hii!

Tuendelee kujadili ni muafaka tuendelee kupata updates
 
Lakini sidhani kama Bakhresa alikuwapo huko zilikopakiwa. Nafikiri alikuwa ni Dereva na Utingo tu, na kama ilivyosemwa kuwa karatasi za kura zimefichwa kwenye maboksi ya vipodozi!!!!! So kuna uwezekano hata huyo Dereva na utingo wasijue nini kilichopakiwa katika gari lao, maana wakijua tu mchezo mzima unakuwa umeingia chooo cha kike, haitokuwa SIRI tena!!!! Wakulaumiwa ni huyo aloinjinia uchapishaji na usafirishaji (Kama hizi habari ni za kweli!!!) na sio Bakhresa au Derevaa wake

Taratibu mkuu, jambo linalozumngumziwa hapa ni kubwa mno, haliwezi kwenda un-coordinated kiasi hicho!:mmph: wewe unafkiri hivyo ni viroba vya mahindi au sukari ya magendo kutoka malawi?!!!
 
JK kuchekacheka kwake jamaa kumbe ana roho mbaya hivi.. Kwa nini ang'ang'anie madaraka!!! Hivi atakapoapishwa itakuwa halali kweli...
nchi za kiafrika zinaboa..
 
nahisi dalili zote kuwa yaweza kuwa kweli ama uwongo pia, pande zote zaweza simama ikiwa lisemwalo lipo, ninapozungumzia uwongo namaanisha yaweza kuwa mbinu ya hawa majangili wa madaraka, kuandaa kashfa kama hii wakati watu wakielekeza macho na masikio yao kwenye hili tuu wao waendeleze walilokwisha panga siku nyingi,, ni wazi na ushahidi upo bakhresa ni swahiba wa huyu jamaa, na sasa wanataka kutuchanganya waislamu nchini na hizi hila zao,. uislam utabaki kuwa safi na huu uchafu wao utapita,,

na pengine haya yote yanatokea kwa sababu hata matumizi ya mbinu za wizi hayakukamilika vizuri kutokana na ukweli kwamba hawakutegemea hata kidogo nguvu kama hii aliyonayo Mh Dr. Slaa (Weapon) kutokea baada ya wao kupata ushindi wa kinafiki kama ule wa 2005 wakidhani mambo yatabaki vilevile..na sasa upepo ghafla ukabadilika hivyo kukosa mikakati ya kueleweka kufanya haya ndio maana imekuwa rahisi kwa wao kukamatwa...

lingine ambalo ni dhahiri kabisa ni kwamba kuna uwezekano taarifa kama hii kufichwa na vyombo vya habari kwa vitisho., pengine tungoje kutoka bbc coz hata leo hii walitangaza taarifa iliyotowa kuhusu TANZANIA KUWA KATIKA HALI MBAYA KUTOKANA NA KUTOKUWA NA UHURU WA KUJIELEZA
 
Wadau, niliwaahidi (kataika post yangu # 96) kwamba ningewaarifu kile ningelikipata kutoka kwa swahiba wangu aliye Mby. Kanipigia simu na kuniambia alikwenda police station na kukuta hali tulivi -- hakuna malori au gari yeyote nyingine iliyokamatwa na kupelekwa pale. Alipoulizauliza pale al;ijibiwa hawajui kitu kuhusu suala hilo.

Alimpigia rafiki yake aliye Tunduma naye akamjibu hajui kitu kuhusu tukio hilo kwani hajasikia chochote. Kamwambia apeleleze, naye akamjibu atafanya hivyo.

Mimi nadhani siyo kweli, unless hayo malori bado yako Tunduma na kwamba issue yenyewe imekuwa immediately clamped down na authorities kwani ni very devastating.

Mwenye habari zaidi atueleze ama sivyo tuamini kama ni uzushi tu.




There are currently 141 users browsing this thread. (54 members and 87 guests)
babayah67, Fikra pevu, Nyambala, Mfwatiliaji, Idimi, MzeePunch, Henge, Mtu66, dazenp, muhulo, KakaKiiza, Interested Observer, Nyumbu-, kiraia, Robert igash, Ta Muganyizi, masaiti, Mndamba, Lily Flower, Mkaa Mweupe, MWIZUKURU, Madabwada, coby, MegaPyne, guta, Mr. Zero, epigenetics, Mkombozi, Agwambo, Kipepe, Kamakabuzi, msaragambo, Yetuwote, ehamaro, Mbalinga, Luteni, kasyabone tall, SILENT WHISPER, lyangalo, Nataka, M-mbabe, Binti Sayuni, Msengapavi, chumvini, Konakali, kinepi_nepi, We Acha tu!, Kamilah, Korosho, Kidatu, mamtaresi, Zak Malang....Hii habari bado ni tetesi au au niiamini
 
Wadau huu ni ukweli mtupu magari mawili ya A.A.Bahresa(named Azam on board)T 501AEM na T 263 AJN yako hapa kituo kikuu cha polisi mkoa Mbeya,binafsi nimeona hizo karatasi za kura ambazo JK kapigiwa kura ya ndio na ziko kama karatasi milioni tano kwa haraka haraka hope police watatoa taarifa kamili,wametutoa nje sijui wanazichakachua au?

Fanya utakachofanya hakikisha unapata nakala hata moja tu!! Uitundike hapa!!
 
Hawa wahindi iko siku yao,anaesema mi mbaguzi atajijua,angalieni biashara zote chafu wamo,ndio wanakula nchi na kodi hawalipi.
 
Habari za uhakika kutoka Tunduma zinasema polisi wanakagua kontena linalodaiwa kuwa na karatasi za kupigia kura. Upekuzi huo umeamrishwa na kamanda wa polisi wa mkoa wa Mbeya kufuatia kuenea kwa kasi kwa uvumi kwamba kontena hilo lina karatasi za kupigia kura zenye TIKI kwa JK.

Hakuna uhakika zoezi hilo litafanyika kwa muda gani kwani mabox ni mengi na yapo kwenye kontena la futi 40 kwenye gari aina ya IVECO T288 BHR na trela lake T966 BKS linalomilikiwa na AZANIA FLOUR MILLS.

Taarifa za awali zilisema kontena hilo liliingia Tunduma kutokea SA likiwa limebebwa kwenye lori B430 ANM kabla ya kuhamishiwa kwenye lori la AZANIA.

Utata ulianza baada ya afisa mmoja wa TRA kuwatonya wenzake kuwa amekagua box moja na kukuta likiwa na karatasi za kupigia kura za urais. Baadaye maofisa wa juu walili-seal kontena hilo hadi polisi walipoanza uchunguzi muda mfupi uliopita.

Tusubiri taarifa zaidi kutoka Tunduma ambako mdogo wangu (anayeishi huko) anafuatilia kwa karibu.
 
Kila lakheri mkuu
Please keep updating the forum on this sensitive issue
 
Mwambie ikiwezekana APIGE na picha matukio yoote tunashukuru kwa kutuapdate
 
Mod unganisha hizi thred....

lakini hii naona ina ushahidi ..hata wa magari na namba zake...Fanya kitu kiomoja yapige picha uyatundike hapa hapa maramoja...na ukipata hata picha ya mabox hayo piga picha weka hapa..na vizuri zaidi piga picha ya karatasi zentewe...
 
Hawa uliowataja ni frontmen tu. Hukuwataja wale behind the scenes -- wahindi kama wanne hivi mafisadi papaambao ndiyo wenye uchu mkubwa JK aendelee kwenye usukani, na ambao ndiyo wana-finance harakati zote hizi chafu!!!

Duh Hawa Wahindi sijui tuwafanyeje inaniuma wanapokuwa ndio wanashikilia mambo ya udhalimu ipo siku
 
Kwa hico sio BAKHRESA ni AZANIA....thanks for the corrections...nilikuwa naelekea kwa Bakhresa nimkwangue kipara chake kumbe ningepata kesi ya bure tu
 
Back
Top Bottom