mchapa shughuli
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 549
- 422
Habari wanaJF,
Kuna tabia nimekua nikiendelea kuiona ya madereva wa magari ya serikali ku-misuse viyoyozi vya magari hayo.Jana nikiwa maeneo ya posta nilushuhudia gari STK 3620 VX likitumia kiyoyozi kwa muda wa saa 2 bila kuzimwa huku bosi akiwa gorofani kwenye kikao na kumwacha dereva akitumia kiyoyozi hicho sehemu ya maegesho ya gari bila kujali uharibifu wa mafuta na gharama yake kwa sasa.Hii ni mara ya tisa sasa nikiona ubadhirifu wa aina hii kwa magari ya serikalini.
Kuna tabia nimekua nikiendelea kuiona ya madereva wa magari ya serikali ku-misuse viyoyozi vya magari hayo.Jana nikiwa maeneo ya posta nilushuhudia gari STK 3620 VX likitumia kiyoyozi kwa muda wa saa 2 bila kuzimwa huku bosi akiwa gorofani kwenye kikao na kumwacha dereva akitumia kiyoyozi hicho sehemu ya maegesho ya gari bila kujali uharibifu wa mafuta na gharama yake kwa sasa.Hii ni mara ya tisa sasa nikiona ubadhirifu wa aina hii kwa magari ya serikalini.