Kama UVCCM wana ubavu basi wadai DPP atoe hadharani majalada ya kesi za mafisadi 11 wa SHAME LIST ya CDM!!!!!!!!!! Madai ya Rostam Aziz kufukuzwa nchini ni matokeo tu ya dhambi ya ubaguzi ndani ya CCM na taasisi zake zote!!!!!!!!!!!!!! Kweli nchi chini ya CCM imekwisha!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! CCM is a dying horse!!!!!!!!!!!!!!!!!Jamani mmeona taarifa ya ITV jinsi UVCCM walivoongea live kuhusu Rostam Aziz kuondoka haraka sana hapa nchini? Mwalionaje hilo ni unafiki au wanamaanisha? Au ndo JF imewachallenge to that extent?
Hapo penye red ni patamu jamani!!!!!!!!! Serikali ni ya akina Nape, waanze basi mchakato wa kumfukuza Rostam Aziz nchini tuone kama Ban- Ki- Moon na Asha-Rose kuwakoromea-waanze basi wanangoja nini???????????????Kusema kwambakuna mafisadi wengi hakumuondolei huyu Rostam madai anayodaiwa kuhusika nayo,hivyo anyang'anywe kwanza uraia kwanza, mengine yafuate na si kwa sababu wengi wana kosa kama yeye basi tuchekeleeee makosa,
he canbe used as anexample2 stimulate other measures.
Vijana wa CCM ni wapuuzi kweli kweli, na hiyo inaonyesha jinsi uongozi wa CCM ulivyo kwani akina Nchimbi na Makala walianzia huko huko vijana. Wanataka Rostam anyang'anywe uraia na kufukuza nchi ili aende wapi ilihali yeye ni raia wa Tanzania na mbunge wa Igunga?.
Makonda afunge domo lake kwani KAGODA ilimwingiza IKULU JK sasa kivipi afukuzwe???Mjumbe wa UVCCM mkoa wa Kilimanjaro Paul Makonda ameomba serikali imnyang'anye Rostam uraia na kumfukuza nchini
Source radio one news
Hivi Rostam ndo fisadi pekee Tanzania nzima? Maana kila kitu Rostam Rostam....
Mimi nafikiri wametumia neno baya [ kujivua gamba] anaejivua gamba ni nyoka na nyoka ni adui wa Binadamu [Watanzania] kwahiyo hawatufai hawa nyoka tena [Black Mamba] dawa ni kuwakataa kabisa kuepuka kuendelea kuumwa na nyoka hawa.
Unajidanganya wewe Rostam kafundiswa tena na ccm wenyewe sema yeye ndo jalala ccm walikuwa wanamtupia kila kitu yeye! anzeni chini kusafisha na vp wanaotumia vibaya lasilimali za ccm nchiki kote ni rostam!? CCM KUJIVUA GAMBA KWAKE MPAKA KIWE CHAMA PINZANI HIZI ZINGINE NI SANAA TUU TUMEZIZOEA.Nyani naona unatafuta sifa hapa!!Rostam ni fisadi namba moja aliefundisha wengine kuwa mafisadi.therefore we want to down the ROOT!
Uzuri ni kwamba Rostam katika dili zote alizopiga alikuwa anahakikisha kuwa anawahusisha pia viongozi wa Serikali na walioko katika nyadhifa kubwa Serikalini sasa sijui who has those guts kuanza kumwambia ondoka, Kikwete mwenyewe kwenye dili za RA yumo, RA is very clever dude
Kama UVCCM wana ubavu basi wadai DPP atoe hadharani majalada ya kesi za mafisadi 11 wa SHAME LIST ya CDM!!!!!!!!!! Madai ya Rostam Aziz kufukuzwa nchini ni matokeo tu ya dhambi ya ubaguzi ndani ya CCM na taasisi zake zote!!!!!!!!!!!!!! Kweli nchi chini ya CCM imekwisha!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! CCM is a dying horse!!!!!!!!!!!!!!!!!
cHAMA CHA KICHAGA KITAWALE NANI 2015 YAGUJUUUUUUU.iyo no vita ya panzi wakuu.....acha kunguru afaidi. Nshawaambia chadema walisema tunaweza kufanya nchi isitawalike nyie wenye akili ya kuambiwa mkuhutubia taifa eti mnapinduliwa sasa kumbe hamkujua maana ya mweledi Ndesambulo na cdm,sasa si mlimwaga mboga, subiri tumwage ugali ndo muje kuomba samahani. Tafunana ivo ivo ili 2015 chama tawala kiwe cdm na chama kikuu cha upinzani kiwe Nccr maana chama cha kitaifa(CCM+CUF)kitakuwa mh.marehemu. Jamani chochea tena kuni za kutosha ,wakimbizane wenyewe kwa wenyewe mpaka wakome.......