Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,447
- 7,824
Rostam Aziz amekutana na Rais wa Zambia, Haikande Hichilema mjini Lusaka na wamejadiliana kuhusu uwekezaji kwenye sekta ya nishati na madini.
Taifa group kupitia kampuni yake tanzu ya Taifa Gas tayari imeingia ubia na kampuni ya Delta Marimba ya Zambia kuzalisha megawat 100 kwa kutumia gesi. Uwekezeji wenye thamani ya dola za kimarekani milioni 100.
Karibuni pia Rostam amewekeza nchini Kenya na Rwanda kwa kujenga sehemu za kuhifadhi gesi ya LPG zenye uwezo wa kuhifadhi tani 30,000 na 25,000. Taifa Gas inaangalia fursa kama hiyo nchini Zambia.
Citizen
Taifa group kupitia kampuni yake tanzu ya Taifa Gas tayari imeingia ubia na kampuni ya Delta Marimba ya Zambia kuzalisha megawat 100 kwa kutumia gesi. Uwekezeji wenye thamani ya dola za kimarekani milioni 100.
Karibuni pia Rostam amewekeza nchini Kenya na Rwanda kwa kujenga sehemu za kuhifadhi gesi ya LPG zenye uwezo wa kuhifadhi tani 30,000 na 25,000. Taifa Gas inaangalia fursa kama hiyo nchini Zambia.
Citizen