EasyFit
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 1,269
- 1,082
UMOJA wa Vijana wa CCM (UVCCM) Jimbo la Arumeru Mashariki umeomba Kamati ya Utekelezaji ya Wilaya na Mkoa ya Vijana kumchukuliwa hatua za kisheria Kennedy Mpumilwa kwa madai ya tabia ya kuharibu umoja huo.
"Huyu ni wakala wa Chadema kwani amekuwa akijichukulia madaraka yasiyo yake na tunamwomba asionekane kuvaa sare za CCM wala kushiriki kamapeni za CCM .
Waliongeza kuwa hivi sasa vijana wa jimbo hilo wanasubiri vikao vya juu vimalize uteuzi wake na kurudisha jina la Sioi Sumari, walisikia wakisema endapo jina la Sioi litakatwa na kumrudisha mgombea wasiyemtaka, nao wataamua nani wamchague.
My Take: Kama wanamtaka mwenzao (Mpumilwa) afuate demokrasia kwanini basi na wao wanatishia kutokubaliana na vikao vyao vya juu endapo jina la Sioi halitarudishwa?
Gazeti la HabariLeo.
"Huyu ni wakala wa Chadema kwani amekuwa akijichukulia madaraka yasiyo yake na tunamwomba asionekane kuvaa sare za CCM wala kushiriki kamapeni za CCM .
Waliongeza kuwa hivi sasa vijana wa jimbo hilo wanasubiri vikao vya juu vimalize uteuzi wake na kurudisha jina la Sioi Sumari, walisikia wakisema endapo jina la Sioi litakatwa na kumrudisha mgombea wasiyemtaka, nao wataamua nani wamchague.
My Take: Kama wanamtaka mwenzao (Mpumilwa) afuate demokrasia kwanini basi na wao wanatishia kutokubaliana na vikao vyao vya juu endapo jina la Sioi halitarudishwa?
Gazeti la HabariLeo.