UVCCM wa UDSM wasema Fomu ya Mgombea Urais itolewe Moja tu!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,984
142,002

Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Tawi la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Isack Sumbali ametoa ombi kwa Vikao vya juu vya maamuzi vya Chama hicho kuanzia Kamati Kuu, Halmashauri Kuu na Mkutano Mkuu kuhakikisha wanatoa fomu moja pekee ya mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pindi wakati mchakato huo utakapofanyika mwaka 2025.

Amezungumza hayo kwenye Mkutano Mkuu wa UVCCM UDSM uliofanyika Abiyani njia panda ya Chuo ambapo pamoja na mambo mengine amesema fomu inayopeneekezwa iwe ya Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye kwa sasa ni Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
 
Haya mambo ya uchawa aliyanzisha mwendazake kama hivyi hivyi! Leo imekuwa ni historia hatunae! Kwa nini wengine wasijifunze? Kwani zikitolewa form nyingi watu wakagombeq kwa haki mwenye kushinda akashinda kwa haki nini? Viongozi tuache ubinafsi, tuache roho mbaya, haya mambo yanaudhi mno! Mkisimama majukwaani mnaonekana wazalendo lakini ndani ya mioyo yenu ni mbwa mwitu! Swala la fomu kutolewa moja au kutotolewa moja katiba ya CCM inasemaje?

Vinginevyo jaribuni nyinyi chawa wa ccm! Ulimbukeni wa madaraka, uroho wa madaraka, tamaa ya pesa, na kujipendekeza kwa vyitu vya hovyo vimewafikisha papaya wengi! Tujifunze kupitia matukio! Msiwe wahudhuriaji tu na kuondoka muwe na la kujifunza pia! Sasa hiyo mipango yenu ovu endelea nayo! Nawapa ole! Fuateni sheria, kanuni na taratibu za chama!
 
Itikadi inayowaongoza ni wengi CCM ni Chawaism. Ukiwa chawa mkuu unaonekana na Rais hata kama unaongea upuuzi.

Huyu atafika mbali kwenye uongozi CCM. Ameanza mapema kabisa kuwa makini na itikadi ya CCM ya sasa ambayo ni uchawa.
 
Ni haki yao kama wanachama wa CCM. Tofauti ya CCM na wengine ni kwamba hao wengine kama hawakubalini na wewe basi wanasema “hauna akili”, hizo ni dalili za kuishiwa hoja.
 
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Tawi la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Isack Sumbali ametoa ombi kwa Vikao vya juu vya maamuzi vya Chama hicho kuanzia Kamati Kuu, Halmashauri Kuu na Mkutano Mkuu kuhakikisha wanatoa fomu moja pekee ya mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pindi wakati mchakato huo utakapofanyika mwaka 2025.

Amezungumza hayo kwenye Mkutano Mkuu wa UVCCM UDSM uliofanyika Abiyani njia panda ya Chuo ambapo pamoja na mambo mengine amesema fomu inayopeneekezwa iwe ya Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye kwa sasa ni Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Swali kwa uvccm kwanini zisitoke hamsa🤔
 
Hebu fikiria hawa ndiyo wako elimu ya juu lkn hawatambui umuhimu wa demokrasia ndani ya chama???!!

Wasomi wazima wanataka kuziba mkondo wa demokrasia ndani ya chama. Aibu naona mimi.

Hii nchi aliyeturoga kafariki
Hivi hicho chuo kinazalisha wasomi bado,mm naona kinazalisha wakat mauno tu

Ova
 

Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Tawi la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Isack Sumbali ametoa ombi kwa Vikao vya juu vya maamuzi vya Chama hicho kuanzia Kamati Kuu, Halmashauri Kuu na Mkutano Mkuu kuhakikisha wanatoa fomu moja pekee ya mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pindi wakati mchakato huo utakapofanyika mwaka 2025.

Amezungumza hayo kwenye Mkutano Mkuu wa UVCCM UDSM uliofanyika Abiyani njia panda ya Chuo ambapo pamoja na mambo mengine amesema fomu inayopeneekezwa iwe ya Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye kwa sasa ni Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Ulitegemea tofauti na kauli hiyo toka UVCCM?

Inajulikana wazi kuwa member qa UVCCM ni lazima uwe huna akili. Ukiwa na akili, ni lazima uwe mnafiki.

Maadam Kinana alikwishatamka hivyo, UVCCM ni lazima waendelee kuimba kibwagizo hicho mpaka mtunzi wa kibwagizo atakapobadilisha.
 
UDSM ya siku hizi imechuja sana.
Siyo kama ya enzi zile za harakati za "Nyerere Square".
Wanasiasa wameiharibu sana UDSM.

Wakati nchi nyingine wanafanya jitihada kuongeza wasomi, Tanzania inapambana kuongeza watu wanafiki kupitia vyuo.
 
Back
Top Bottom