1.Nani alibaini balali ni mwizi?
2.Aliiba shilingi ngapi?
3.Kwanini hawakumfungulia Kesi?
Vitu vingine muwe mnakaa kimya kama haujui kuhusiana na hilo,kwa taarifa yako Balali ndiyo alikuwa wa kwanza kuachia ngazi na mambo mengine yalikuw ani zuga tu ila Balali alijiuzuru kabla hajafutwa kazi!
Suala la Kimaro siyo njama za Mafisadi.Tutajie ni mafisadi gani hao siyo kubwabwaja tu...
kwa nini rais alimfukuza kazi.....?