MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,565
- 836
- Thread starter
- #141
Mkuu,
Kwenye suala la ARDHI nawaomba sana Watanzania wenzangu, Bunge letu, Mahakama yetu, Vyombo vya habari na Serikali yetu tubaki WAJAMAA. Hili ni moja kati ya mambo mema kabisa alilotuachia MWALIMU.
Mkuu labda ulalamike ulitaka kununua ardhi ukanyimwa pasipo sababu. Hata sasa ukitaka mkuu Wilcard kumiliki ardhi haukatazwi. Kuna wengi wana nga'ang'ania kumiliki ardhi na hawaifanyii chochote. Mfano leo hii mkuu Wilcard upewe shamba ambalo halilingani na uwezo wakoo, utaweza kuliendeleza? Au utaacha tu majani yaote kwenye ardhi? Na unaupenda ujamaa sasa hivi je wakija kuchukua mali zako, hata kama ni kidogo, katika jina la ujamaa uta kubalii?