Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
huo ndio uswahili..
Get a life
huo ndio uswahili..
that is the wrong approach. The right approach ni kuwa wale wanakijiji ni wahalifu wachukuliwe hatua. Vitendo vyao haviwezi kuhalalishwa na bei ya Kimaro kununua shamba au mwaka gani alinunua shamba hilo. Uhuni walioufanya hauwezi kuhalalishwa kwa kujua kama shamba alilinunua kwa nani.
Lakini zaidi kama kungekuwa na issue ya umiliki wake swali lingekuwa ni hawa wanakijiji wamechukua hatua gani za kisheria kuzuia umiliki huo wa Kimaro? Nadhani hicho ndicho cha kuulizwa. Ni wana kijiji wana burden of proof ya kuonesha kuwa Kimaro kalipata shamba kwa njia kinyume na sheria.
Get a life
tukumbushe ilikuwaje?Mbona wananchi walipojichukulia sheria kwa Ballali hamkulaani? Ndio maana wengine tunaipenda JF, rahisi kweli kweli kuona unafiki mkubwa ulioko hapa.
Kama tunalaani hizi tabia mbaya za wananchi kujichukulia madaraka mikononi mwao basi tulaani kwa kila mtu; tulaani hata pale hizo tabia zinapotumika kuchoma vibaka.
wananchi sio polisi, sio mahakama, hizi tabia za kuvamia na kuharibu mali za watu hazifai. Tusipoangalia tutaishia kuwa kama Zimbabwe.
Lakini pia wanasiasa nao waelewe kwamba kadri wanavyofanya deals mbalimbali za kuwaibia wananchi kwa kutumia system, kuna siku wananchi watashutuka na kuwafuata.
tukumbushe ilikuwaje?
lol nitafute nini? wananchi kujichukulia sheria mikononi dhidi ya balalli? kuna thread nyingi za balalli.....Yo Yo,
Kwanini JF ina search button? Ni kwa kazi kama hiyo, tafuta mwenyewe!
Bwana Kimaro umekuwa mstari wa mbele kudai haki za wanyonge, nadhani inabidi uonyeshe utetezi wako kwa vitendo. Sidhani kama wavamizi hao ni kundi la wahuni bali wanatuma ujumbe kuwa ubinafsishaji wa ardhi unapofanyika basi tathmini ya kina lazima ifanyike ili kuona kama jamii inayozunguka ina ardhi ya kutosha. Tukio hili lichukuliwe kama funzo ili mambo yaliyotokea Zimbabwe yasitokee Tanzania. Hivyo ni vyema Kimaro ukatoa sehemu ya estate yako ili hao walala hoi wapate sehemu ya kulima.