mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
Tunakushukru tumekusikia tutachukua hatua. Mimi binafsi hawa wezi wa mitandao nawakubali kwa ubabe wanaohufanya ila hili la kudukua halafu kutaka hela sijalipenda, lakini la kumdukua mwenzio hii technonology nimeipenda kwani ni mifumo wanayoitumia nchi nyingi za kibabe walioamua kupiga kura kwa kutumia mfumo wa eletronic wanamweka Rais wanayemtaka, nchi nyingi zimefanyiwa hivyo, mpaka sasa uvumi wa Rais wa America kuingizwa na mrusi inawezekana pia, hapa kwetu sijajua kama hii wanaijua au wameitumia. Kwenye simi sina wasiwasi kwani ni tool nyepesi sana kudukuliwa. Watanzania hawapendi kununua anti-virus kwenye mifumo yao ya simu wanapenda dezo wakati wanatumia android, simu zenye CPU ya MTK ni nyepesi kuingilika na virus hawa kwa kuwa haina mfumo mzuri wa bootloader protection