Utaratibu mpya kwa wanaotaka kujiunga na MASTER DEGREE UDSM

thanx 4 information bt ningependa kujb hoja ya m1 aliyexema wengne vlaza ndio 7b hawaendi udsm me kwang co kwel b'coz ni wa2 wangap wanafaul vzur na hawaend udsm chukulia mfano mwaka huu wanataka point 5 kwa arts na around 2.5-kwa science me nazan weng we2 huwa 2napenda kwenda udsm bhax 2 ktk uchambuz unakuwa umeachwa na kuchukuliwa na chuo kngne (competition) ila co kuwa n uklaza
 
KWA WALE AMBAO HAWAKUSOMA UDSM awe na first class kutoka katika vyuo HIVYO. isipokuwa kwa wale waliosoma UDSM; wanaume wawe na GPA ISIYOPUNGUA 3.5 na wanawake wawe na GPA ya 3.3

Wana JF hii inapeleka ujumbe gani kwa vyuo vingine?
Nadhani ingekua vizuri kama mwasilisha mada angetoa na source of info ili tuwe na uhakika wa taarifa
 
Mimi ni zao la UDSM ile ya migomo haswa.... GPA za chupi na kudisko kwa visa kwa baadhi ya watu; hii haishangazi

Ushauri tu, si lazima kusoma UDSM... na experience yangu ndogo ya kufanya kazi na watu wenye masters za UDSM, wengi wako kinadharia zaidi wakati maisha ya makazini yanataka applied knowledge

I would never take any person close to me to any postgraduate course ya UDSM kwa sasa hasa kama ni za management... tunakosa upeo fulani
Mmh napitia pitia website ya udsm niapply masters haya maneno yako sasa mweh
 
Mimi nimesoma Ud Ila sitaponda vyuo vingine.Wrote hatuwezi kuenea pale.Cha msingi ubora wa Vyuo uangaliwe.Kwa knowledge Udsm ni hatari mana Waalimu wa pale ni wa kimataifa
 
Wapuuzi hao. Kwa hiyo wanataka kusema kama applicant amepata lower second class from Harvard, Cambridge, MIT, Stanford, Yale, LSE, hawezi kujiunga hapo Mlimani?
 
Nisamehe bure, naweza kuwa nimekosea, ila nazungumzia ninayoyaona na kuhisi.... Miaka hii watu wako zaidi kwenye "applied education" na hilo bado sana hapo kwa kilima
Nop haujakosea, nlikua naulizia tu kujua detail zaidi wala usijali
 
Kaka asante kwa kutujuza halihalisi ya UDSM kwa level ya Master degree maana nilikuwa na mpango wa kufanya Master degree ya Education Management and Administration.
Kama unahitaji MEMA karibu ila angalia Ada usije kukikosa chuo. Ila shule jamaa wanakata nyanga aibu
 
KWA WALE AMBAO HAWAKUSOMA UDSM awe na first class kutoka katika vyuo HIVYO. isipokuwa kwa wale waliosoma UDSM; wanaume wawe na GPA ISIYOPUNGUA 3.5 na wanawake wawe na GPA ya 3.3

Wana JF hii inapeleka ujumbe gani kwa vyuo vingine?
Hicho chuo kinandaa walimu tu?

Kuna watu wako makazini wana GPA ya karai "C" 2.0 , lakini wako njema kikazi na wakija kwenye kusoma masters na kuspecialize wanachokifanyia kazi watapasua ile mbaya, sasa hawa wanachukuliwaje na chuo kama UD?
 
UDSM ndo chuo peee cha kuaminika hapa Tanzania. Na hivi wameanzisha MEDICINE na koz za Agriculture SUA na Muhimbili mjipange vizuri.
 
UDSM ndo chuo peee cha kuaminika hapa Tanzania. Na hivi wameanzisha MEDICINE na koz za Agriculture SUA na Muhimbili mjipange vizuri.

Sioni mantiki ya mchango wako. Kwanza UDSM sio chuo pekee cha kuaminika hapa Tanzania. Kwenye kilimo challenge kubwa kwa SUA itatoka MJKNUA (Butiama) na si UDSM. Hata kwenye Medicine itawachukua muda mpaka wafikie level ya MUHAS. All in all ni vizuri wao kurudi kwenye nyanja za kilimo na medicine, kwani eventually wakiwa makini wataongeza ushindani na vijana watakuwa na choice kubwa.

Bahati mbaya kama government funding haita kwenda sambamba na uongezekaji wa vyuo (kwa mfano training of new lecturers) vya umma, elimu yetu itadidimia zaidi. Ufanisi wa kuendesha vyuo vyetu unazidi kupungua na usimamizi wa TCU unaanza kutia shaka kwenye maeneo fulani, kwa mfano uwiano kati ya wanafunzi na miundo mbinu ya vyuo si mzuri.
 
Muslim University of Morogoro (MUM) nao wanaanza kutoa Bachelor of Medicine, Pharmacy, Environmental Science & Dental kiukweli Tanzania ya Viwanda na wataalamu lukuki imewadia. Takbiiirriii.......................
 
Back
Top Bottom