Utaratibu mpya kwa wanaotaka kujiunga na MASTER DEGREE UDSM

Maisha muhimu ufanikiwe! Sasa wewe kaa na 1st class ya UDSM maskani ujisifu mwenzako ana pass ya DIT anakula bingo. Kisha ndo ukae ulinganishe kati ya yule wa 1st class UDSM na gule wa Pass DIT nani bora!
 
dogo unapotosha umma, hio requirement sio kwa kozi zote ni baadhi tuu tena ni zile zilizoko kwenye, i) Department of Political Science and Public Administration: Offers three Master of Arts (M.A.) programmes; M.A. (Public Administration), M.A. (Political Science) and M.A. (Strategic and Peace Studies). Entrance Qualifications for M.A. Programme by Coursework and/or by thesis
(a) Holders of an honors degree from a recognized or accredited university or an equivalent from another approved University, or any institution of higher learning within and outside Tanzania, and recognized by Tanzania Commission for Universities (TCU).
(b) Graduates of UDSM must have a G.P.A. of 3.5 for male applicants, 3.3 for female. Applicants from upcoming universities must have a First Class honours degree.
(c) Applicants with a pass degree may be considered if they have Postgraduate Diploma in Political Science from a recognized institution of higher learning.

ila kozi zengine requirements ni Master of Arts in Education (M.A. Education) by Coursework and Dissertation
Regular Programme Minimum requirement: - First degree in education from a recognized University
- GPA of not less than 2.7
Duration: 18 Months for full time programme.
iv) Master of Arts in Education (M.A. Education) by Coursework and Dissertation
Evening Programme Minimum requirement: - First degree in education from a recognized University
- GPA of not less than 2.7
Duration: 24 months for evening programme.
v) Master of Arts in Applied Social Psychology (MAASP) by course work and Dissertation
Minimum requirement: - First degree in education from a recognized University
- GPA of not less than 2.7
(ii) M.A. in Mass Communication
Entrance Requirements Applicants should be in possession of first degree with minimum of 2.7 GPA from recognised Universities in any discipline.
ukienda kwenye web yao utaona requirements nyingi sana, nyingine zinataka pass tuu
Mujumba thanx kwa ufafanuzi kwani nilianza kustaajabu taasisi kama UDSM kufanya mambo ambayo hayaendani na hadhi yake.Kwenye hizo fani waombaji ni wengi sana so hiyo ni njia mojawapo ya kuwapunguza ili kuboresha ufanisi.
 
Last edited by a moderator:
nakubaliana na wewe ndugu...huyu mdau hana uhakika na anachokiandika hapa na anadanganya umma...mimi niko hapo ud nafanya masters na hakuna kitu kama hicho...jamani tukumbuke kuwa SIO LAZIMA mtu ukasome ud, so kama unaona ni chuo bomu nenda unakoona ni bora, na kama unaona panakufaa njoo ujiunge...ishi upendavyo hujalazimishwa kuja kusoma ud...tujaribu kuandika na mambo mazuri ya kitu chochote sio kila siku mabaya tu....mnaoona panawafaa njooni mjiumge, mnaoona ni bomu hapawafai nendeni mnakotaka kwingine..msiharibu jina la chuo hiki jamani.
Ila naona kama mtoa mada hii umepotosha uma maana mimi nipo karibu sana na directorate ya postgraduate UDSM, hakuna requirement kama hizo zimewekwa zaidi ya second class kwa kozi nyingi! umepata wapi info zisizo kweli unaweka kwenye JF bila kuwa na evidence? Jamani hili jukwaa tulipe heshima yake!
 
Mimi ni zao la UDSM ile ya migomo haswa.... GPA za chupi na kudisko kwa visa kwa baadhi ya watu; hii haishangazi

Ushauri tu, si lazima kusoma UDSM... na experience yangu ndogo ya kufanya kazi na watu wenye masters za UDSM, wengi wako kinadharia zaidi wakati maisha ya makazini yanataka applied knowledge

I would never take any person close to me to any postgraduate course ya UDSM kwa sasa hasa kama ni za management... tunakosa upeo fulani

na wewe ulipata degree ya chupi?
 
Janjaweed weo ni zao la udsm kule MSAUD au wapi?.Nadharia ngazi za Masters zinatoka wapi na wewe ulisoma Masters ipi? Au unachangia tu kwa vile bila hoja ya maana.Masters inamwezesha mtu kuwa critical thinkers ,analysis through case studies na research ,sasa hiyo kwamba wanatumia nadharia nafikiri umekurupuka.Jipange tena..
 
KWA WALE AMBAO HAWAKUSOMA UDSM awe na first class kutoka katika vyuo HIVYO. isipokuwa kwa wale waliosoma UDSM; wanaume wawe na GPA ISIYOPUNGUA 3.5 na wanawake wawe na GPA ya 3.3

Wana JF hii inapeleka ujumbe gani kwa vyuo vingine?

Madogo hawakomai siku hizi wanafanya mchezo tu... Tunataka CDM iingie Madarakani ili irekebishe mfumo wa Elimu..
 
kutokuelewa kwa aliyepost apo, asa Masters kwani lazima uje UD,kaeni muone ka mtaeza mana tunawangusha magamba na nyie
 
Hivi vyuo vya kibongo bwana kinataka kujitofautisha na Vyuo vikuu vya kata. maana siasa mpaka kwenye taaluma
 
Wadau udsm wana ma programs nyingi sana na kila progam ina sifa zake.kuna program kama maed,mba,psychology wanachukua mpaka 2.7
 
Udsm ni chuo bora tz upende usipende,udsm ni bora africa kwani ni ya kumi mwaka huu,huo ndo ukweli...nawashauri ambao awajapita pale wasafishe vyeti vyao kwa kupata masterz.

We ndio boya kwelikweli mbona kazini wanagaragazwa na taasisi za sayansi kama DIR, MIST etc
 
huwa nashangaa sana UD kujiona a very unique varsity, wakati varsity kama SUA ina "pass mark 50% and above" na ina fundisha science subjects, sifa za UD nini hasa? ulimbukeni unawasumbua
Hebu waambie hawa vilaza!!!

yani pass mark ya 40, then masomo yenyewe ya ngwini na bado wanaleta nyodo!!.....hovyo kabisa!!!
 
We ndio boya kwelikweli mbona kazini wanagaragazwa na taasisi za sayansi kama DIR, MIST etc

Usiombe kua pamoja nao kituo cha field kila kitu wanaomba kuelekezwa yaani kama vile hawajafundishwa huko vyuoni kwao mi najiuliza field ni kwa ajili ya kupractic ulichofundishwa wakifika huko wanang'aa macho ina maana hawakufundishwa?then lijitu linaropoka ati UDSM chuo bora
 
ningekuwa na uwezo udsm ningeipiga bomu ipotee, tangu miaka ya 2000 nahangaika na div one zangu, leo nshamaliza na hizo master ktk vyuo vikuu duniani, ikiwemo yale university wao bado wanawabania watanzania wenzao kusoma kisa UKIRITIMBA hawana lolote. Product zao zenyewe wizi mtupu, baba mwizi, mama mwizi, mtoto mwizi, dada mwizi, kaka mwizi
 
cha msingi kutoka ndugu zangu.... mbona udsm kawaida sana, tunaona kwenye product zake si zote zinazo kidhi viwango. so, kujivunia udsm na kumdharau aliyesoma chuo kingine ni ushamba na ulimbukeni. kwa kifupi mimi simind isue hizo. nilivo maliza six mkopo ukawa haueleweki nikaamua kujitafutia kazi yangu ya kawaida sana kati ya taasisi ambazo watanzania wengi wenye uelewa mdogo huzidharau. nikafanya for 3 yrs, theni nikapiga open university BA Economics, namshukuru Mungu nikaajiliwa kwenye taasisi nyingine ya juu hapa hapa tz. Na naendelea vizuri kwenye idara yetu tunaproduct za ud na nyingine zile zinazo pigia kwenye dunia ya kwanza (ulaya na usa) lakini baadhi yao zipo shalo ile mbaya na sio kwamba najiproud bt nafanya vizuri na najiamini na ninachokifanya.I plan mwaka huu ntafanya masters bt sio kufuata mkumbo chuo chochote ntapiga ili mladi kinakubalika. Wtz mtakaa na ideas hizo hizo finyo hadi lini? mi naona kinacho wachanganya ni jina tu badala uangalie unacho kipokea na utaenda kuki deliver vipi kwa wtz watambue mchango wako katika maendeleo ya nchi.mtanielewa vibaya ila kujisifia jina la chuo ulicho somea badala ya kujisifu ulichopokea na mchango wako kwa jamii nzima ni ujinga na ufinyu wa mawazo. Hata ajira zikitangazwa kwani huwa kuna criteria ya kuwa lazima uwe umesoma udsm?

jiamini, fanya mambo yako kwa bidii na mwamini Mungu utafanikiwa katika yote (duniani na mbinguni , mwilini na rohoni)najua niliko toka na niliko saivi, siwezi kumdharau mtu kwa jambo lolote..
 
nakubalia na wewe mkuu, si ukirtimba wala nini pana watoto shallow sana, hata wa tumaini wana nafuu. udsm wana matatizo makubwa sana, si kosa lao, ndo mana wanafaya watu kama jj mnyika, naibu ktb mkuu CUF, NK mtu kama zito Utaamini kuwa waliwasumbua ud? sio chuo kile, someni popote mradi ufanye kazi kwa bidii.
 
Back
Top Bottom