..Ngoja nitafute mdau tufanye utafiti wa kuwawekea wenza speed governor tunaweza kutoka na mihela kibao!!! Maana haya mambo ya watu kumega/kumegwa kwenye ndoa ni kizungu mkuti Teh! tehhhh!!tehhhhhh!!!!katika mambo ambayo ctakagi kulifikiria ni hilo,mie naomba heshima yake tu,ingekuwa kama asubuhi tukitoka kila mtu anachukua cha mwenzie anakiweka kwenye mkoba ningepata ahueni vinginevyo ctaki kujua/kuhic ka cheat mana mhhh......
Sasa itakuwaje kama hajado na akachelewa kumaliza kwa sabab hayupo kwenye mood wakati huo? Tatizo saa nyingine inawezekana kweli kachelewa sabab ktoka kudo na saa nyingine sabb ya kutokuwa kwenye mood.we ukita kujua kama amedo au hakudo,akifika tu mpe mambo fastafast kama wewe ni demu wake.na ukiona anachukua muda mrefu kumaliza jua tayari,insu kama hii iliwahi kumtokea mshikaji wangu lakini yeye alipass quiz hiyo.
Sasa itakuwaje kama hajado na akachelewa kumaliza kwa sabab hayupo kwenye mood wakati huo? Tatizo saa nyingine inawezekana kweli kachelewa sabab ktoka kudo na saa nyingine sabb ya kutokuwa kwenye mood.
Mi nafkiri kama ana sabb ya kunicheat(mi nimemsababisha) sawa, ila kama hana sabab nafsi yake itamtesa mpaka ashae sabb haniibii mimi ila anajiibia mwenyewe.
Ntamwambia dada yangu bwashee. Ohooo! Nshaanza kutoka nje ya mada, ngoja nirudi kwenye mstarimimi nikiamua kucheat hatakaa ajue!..........
Sasa ndo ukishajua kwa mfano kacheat unampa adhabu gani? najua wanaume huwa wanakimbilia kuacha but kwa wanawake wengi wetu huwa tunasita kuacha moja kwa moja na ndio maana tunabother kutafuta chanzo kwanza kabla ya adhabu. Kama wewe mwanamke mpenzio ndo umegundua kacheat unampa adhabu gani?
Laiti ningekuwa mwanamke, nikagundua mme wangu ananicheat? Very simple, nami nacheat.
Ntamwambia dada yangu bwashee. Ohooo! Nshaanza kutoka nje ya mada, ngoja nirudi kwenye mstari
Ah asa si wote mtakuwa wendawazimu? kwangu mimi mwanaume anayecheat ni sign ya udhaifu yaani ni weak na hafai kuwa mwanaume ! Kama kuna kitu hukupendi kwenye relationship yako ni bora kujaribu kukirekebisha au kutema kabisa ijulikane moja but kucheat!! its a big NO to me
The same applies to mwanamke
95% ya wanaume wanacheat. Kaa ukijua kabisa. Si udhaifu wala nini. Nature hiyo mama. Kwa hiyo usishindane na wanaume kwa hili. Si binadamu tu, hata wanyama wengine, Ni asilimia ndogo sana ya he anayeridhika na she mmoja. Period!
95% ya wanaume wanacheat. Kaa ukijua kabisa. Si udhaifu wala nini. Nature hiyo mama. Kwa hiyo usishindane na wanaume kwa hili. Si binadamu tu, hata wanyama wengine, Ni asilimia ndogo sana ya he anayeridhika na she mmoja. Period!
Sikatai kabisa kwa hiyo ni nature yenu kuwa dhaifu (hivi Chrispin we ni a he kweli?). So ni udhaifu tu bwana kama huridhiki na mmoja why uendelee kukaa naye? si umdamp uende kiota chengine bwana?
Mie hata sishindani nanyi hata kidogo
Namshukuru Mungu wewe upo kwenye asilimia hiyo 5% ambao hawacheat,Hiyo 95% ni akina Fidel80 na kina Nguli.Usidanganyike ukaanza kucheat switi!
Namshukuru Mungu wewe upo kwenye asilimia hiyo 5% ambao hawacheat,Hiyo 95% ni akina Fidel80 na kina Nguli.Usidanganyike ukaanza kucheat switi!
Hahaha! Ntahitaji kuombwa rahi kwenye hiyo red. Lol! Yule mama binti yangu akisoma hiyo posti yako, atafunga Safari kuelekea ofisi za TAMWA kukushtaki. Hiyo habari nayompaga mwenyewe atakusimulia mkikutana mahakamani. Hehehe! Kudampo? Mnakubaligi kudampoiwa nyie?
Kaka niko chini ya miguu yako (na macho nimefumba) nakuomba radhi kwa kukukosea.
Kaka niko chini ya miguu yako (na macho nimefumba) nakuomba radhi kwa kukukosea.
sasa ukishakuwa chini ya miguu ya shemeji?............!ANYWAYS,macho ufumbe vizuri,na mdomo ufunge pia