Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Tena mume wangu akikusikia atakufuata mpaka kwako maana ni majirani
Akikucheat usisahau kuniPM tulipize kisasi.
Tena mume wangu akikusikia atakufuata mpaka kwako maana ni majirani
Akikucheat usisahau kuniPM tulipize kisasi.
Wale hawana wangu. kila mmoja ni wa wote.Kwani wanyama huwa wanacheat?
Na mkeo amPM nani? Nguli au Fidel?
some pipo bwana, kama unaona thread imekuzidi uwezo unaweza chambua nyingine, sioni la ajabu lililoongelewa humu, na kama unajiona mtoto unaingia humu kutafuta nini? nenda majukwaa ya elimu kule.
Wapwa hawana noma wale. Wale wanaingia hewani direct. Kizuri tunakula na wenzetu.
Kwa kuwa wewe ni muumini, na kama mwenzio hali kadhalika, basi hata siku asipokomunika kanisani, yaweza kuwa ishara kwamba kananilihi recentlyTumsifu yesu kristu.
Kukomunika sio kipimo.Kwa kuwa wewe ni muumini, na kama mwenzio hali kadhalika, basi hata siku asipokomunika kanisani, yaweza kuwa ishara kwamba kananilihi recently
Kwa kuwa wewe ni muumini, na kama mwenzio hali kadhalika, basi hata siku asipokomunika kanisani, yaweza kuwa ishara kwamba kananilihi recently
Chrispin kaka Noma hiyo!Njoo nikumege afu tuongozane kwenda church uone kama sitaifakamia sakramenti kama kawa.
Kama alitumia condom! na licha ya hayo mwanamke hodari huosha vizuri something yake tena kwa maji ya ndimu kidogo kwa kutumia taulo kufuta minato yote ya kudo. Achaneni kabisa na anga za watu hizi. Hishima na IMANI tuu ndo inayotakiwa hapa. Otherwise nikusugua kichwa kwa mawazo yasiyokuwa na msingi kabisa.
duuu, twisheni kwa wananawake!!.........na sisi wanaume kama katoka kudo ukikaribia nyumbani kama kilometa mbili unafunga vioo vya gari then unawasha heater full blast hadi utoke jasho, au unapaki gari baa ya jirani then unatembea kuelekea nyumbani...on the way unakimbia kidogo kigogo..hadi utoke jasho, ukikutana na jirani unamwambia unafanya mazoezi ya kupunguza kitambi!!
katika mambo ambayo ctakagi kulifikiria ni hilo,mie naomba heshima yake tu,ingekuwa kama asubuhi tukitoka kila mtu anachukua cha mwenzie anakiweka kwenye mkoba ningepata ahueni vinginevyo ctaki kujua/kuhic ka cheat mana mhhh......
Bado angekuibia unapokuwa busy na kazi, cha msingi kingewekewa password, afu unaijua peke yako, hata yeye haijui, Frustration zote zingeisha.
Kama alitumia condom! na licha ya hayo mwanamke hodari huosha vizuri something yake tena kwa maji ya ndimu kidogo kwa kutumia taulo kufuta minato yote ya kudo. Achaneni kabisa na anga za watu hizi. Hishima na IMANI tuu ndo inayotakiwa hapa. Otherwise nikusugua kichwa kwa mawazo yasiyokuwa na msingi kabisa.
duuu, twisheni kwa wananawake!!.........na sisi wanaume kama katoka kudo ukikaribia nyumbani kama kilometa mbili unafunga vioo vya gari then unawasha heater full blast hadi utoke jasho, au unapaki gari baa ya jirani then unatembea kuelekea nyumbani...on the way unakimbia kidogo kigogo..hadi utoke jasho, ukikutana na jirani unamwambia unafanya mazoezi ya kupunguza kitambi!!