Sio kihivyo ila kuna bibie kamwaga mchele mwingi sana, mambo ni mengi.
Naona idadi ya miwani inazidiMpwa umefanikiwa na wewe kupata miwani? Hahahaha! Hongera, mi ya kwangu leo nimeisahau home.
hivi mtu akikucheat unaumiza kichwa?.............
NA WEWE SI UNA,CHEAT TU,au?
Naona idadi ya miwani inazidi
Unauliza bei unjibiwa vizuri kasheshe unamudu malipo yake?Kwa hiyo unaogopa? Usiogope ukubwa wa samaki, ulizia bei.
hahahahahahah!dada ako huwa hacheat bana.hata ufanyeje ataishia kusema NIKUKUNDA SAAANAA!Bwa Shee habari ya jioni. Wagogo vp ulifanikiwa kumcheat dada?
hahahahahahah!dada ako huwa hacheat bana.hata ufanyeje ataishia kusema NIKUKUNDA SAAANAA!
yaani Chrispin nilijua tu mahudhurio yako kwenye hii mada yatakuwa mazuri
Hahaha! Tatizo we ndio una mcheat! Hahaha! Natania binamu, sisi huwa hatucheat, tunafanya mechi za majaribio. Hahahaha!
Unauliza bei unjibiwa vizuri kasheshe unamudu malipo yake?
Geoff, majibizano ya hivyo yanaweza ya kakucost "either party"hivi mtu akikucheat unaumiza kichwa?.............
NA WEWE SI UNA,CHEAT TU,au?
Hahaha! Siasa zimenishinda. By the way we ni he au she?
wewe nawe? mimi ni she (and am proud to be one)
Good! Napenda ushirikiano huo. A married she? I bet not!
Kwani wanyama huwa wanacheat?Hakuna njia yoyote ya kutambua kama ame-do au haja-do, kiukweli endapo wanadamu tungekuwa wahalisia na kushikilia imani zetu basi hakuna ambae ange-cheat kwny mahusiano yake, kilichopo ni kwamaba wanadamu tumejisahau sana na hatimae tunaishi maisha km wanyama, tumekuwa tukiendeshwa na hisia na si utashi wetu binafsi!