jembe afrika
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 7,604
- 3,753
- Thread starter
- #101
Nini tena mkuu?Daaah, kazi ya Mungu haina makosa
Nini tena mkuu?Daaah, kazi ya Mungu haina makosa
Aiseee uko Sawa kabisa, nishaachana nao kama watatu hivi, yaani havijiamini, kitu kidogo wanayakuza yaani!!!
Hahahahaaa mkuu umenivunja mbavuWewe utazan ulishamuona mke wangu. Daaaaah jamaa nakuunga mkono 100%
WafupiNini tena mkuu?
Aisee sampling yako umeifanyia wapi?
Pole mbavu ngapHahahahaaa mkuu umenivunja mbavu
Bakia kupiga selfie mkuuUzuri huwa hawakulazimishi isipokua mwenyewe ndio huwa unawafuata.....unaposema wa nini nyuma yako kuna wenzio wanapiga jaramba watampata lini.
Kwakuwa umewajua na unajijua unataka nini basi fuata wale wanaokufaa
Jiwe la gizani hiloMtaft hafat vgezo vya valid utaft kuna utaft hapo? Au brabraa za vijiwen?
Kapo mkuuKama kuna kaukweli hivi.....
Marijuana on board
Huu utafiti wako ni wa kweli kabisa kwa asilimia mia moja.. Nilikuwa sijui ila juzi yamenitokea nilikachukua kamoja ni kafupi kembamba nikapiga game ile nimeenda kuoga nikakuta kamesachi suluali kamechukua 30000 ile kukahoji kalikuwa kakali kama pilipili kichaaa