Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeonaeeee.....Kuna mada nyingine usiwe unasoma ukiwa sehemu imetulia na watu mpo kwenye shughuli zenu kwa kweli nimeharibu shughuli za watu hapa kwa kicheko daaaah watu mnajua kulengaa
Kwahiyo ni mahususi kwa mwanamke tu?Kimo chake mwili wake pamoja na chura.
Sishangai,ndio tabia zao,uwa ni sitaki nataka,wanapenda visasi sana,na kupenda dudyu ndio tabia zao.staki tena kupenda mwanamke mwenye kimo cha mkapa, kuna kamoja nilikatema kakantishia kuniendea kwa mganga kaniroge
Eeeh,jiwe gizani limeanza kuwapata.Jf watafiti wengi, ila utafiti wao sasa ngachoka!!!
KabisaWana sura za HASIRA mda wote!!!!!!!!!!!!!!!!!!........Hatari
Asante mamajembe afrika umeongea ukweli mtupu
Asante mamajembe afrika umeongea ukweli mtupu
KabisaEeeh,jiwe gizani limeanza kuwapata.
Kwahiyo mnajifariji kuwa mimi mfupi na mwembamba, haya.Kabisa
Halafu kakorofiKwahiyo mnajifariji kuwa mimi mfupi na mwembamba, haya.
Haya.Halafu kakorofi
Sijawahi kufikiriaga kupiga mwanamke ila kuna siku nilimzaba kofi.anza kabisa mazoezi ya kuwamba mkono kwa ajili ya kumfumua.. ukiwa na demu mfupi tunasemaga "hainaga ujentomeni tunapigaga"
ipo siku utampiga tu mana hawasikii asee.