Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
Na hapo bado CHADEMA hawajafungua gala lake. Tunasubiria kwa shauku kubwa kusikia Cdm wameshusha 'CONVOY' yake iliyosheheni silaha za maangamizi. I mean kina Wenje, Kiwia, Selasini, Mnyika, Mdee, Lema, Sugu, Silinde, Nyerere, na makamanda wengine. Hakika Igunga hapatatosha. Magamba lazima watawehuka.
Wawehuke mara mbili huoni hilo la mkuu wa wilaya wanavolikuza