Elections 2010 Utafiti: CHADEMA 74% Igunga, kama uchaguzi ungefanyika leo

nashawishika kusema kwamba taarifa yako ina uhalisia fulani. good job.
kwa mjibu wa sugu, wanasema kampeni zitaanza kwa nguvu ya digital tarehe 25. nawashauri waanzie na huko ambako CCM waliwanyima elimu ya kujitambua, ili elimu ya uraia itakayotolewa na CDM waanze kuipokea na kuichukia CCM kama ilivyo kwa wengi ambao tumeenda shule, tunaojua kwa vipi CCM imekwamisha maendeleo ya nchi na wannchi wake,
Chadema ni tishio la makuadi woote wa kifisadi. Long live cdm, viva chadema!
 
Chama cha Demokrasia na maendeleo kinaweza kushinda hadi 74% kwa mujibu wa utafiti uliofanywa kwa muda wa wiki tatu na wanazuoni na baadhi ya waandishi wa habari Tz daima imeripoti leo. Utafiti huo umefanyika ktk kata zote 26. Ilieleza taarifa hiyo kwa ufupi.

Kwa upande wake mwanahalisi nao wamefanya utafiti wao na kugundua kuwa Chadema inaweza kushinda kwa 55% tu kutokana na utafiti uliofanyika kwa wiki mbili uliohusisha mjini na vijijini.

Mijini ambako kuna 50% ya wapiga kura, Chadema inaweza kupata 60 -65# na CCM 25 - 32%. Kata za vijijini kabisa CCM 60- 65% na Chadema 30 - 32% na cuf 8- 10%.
Kata ambazo chadema inakubalika ni mwisi, Igunga, Ziba, Igurubi, Chaoma, na Nsimbo. Kati ya watu kumi 6 = chadema, ccm, Cuf na wengine waligawana zingine.
CCM ina mvuto sana ktk maeneo ya kijijini hasa kaskazini ktk tarafa ya Igurugi yenye kata za Itumba, Kingiringirina, Itumba, Mbembezi na Mbutu. Kati ya watu 10 waliohojiwa 6= ccm. Maeneo haya uelewa wa watu ni mdogo sana na wengi wao ni wafugaji. Waliojibu kuwa wataichagua ccm kwa sababu ndo chama walichokuwa nacho tangu zamani. Uelewa ni mdogo kiasi kwama hawajui hata baadhi ya vyama vinavyoshiriki uchaguzi wa Igunga, utafiti uligundua.
Waandishi wa Mwanahalisi wanaripoti kuwa Chadema ina nafasi kubwa kushinda kutokana na kukubalika ktk kata zingine 8. Kati hizo kata 8 ni kata za Nyandekwa, Mwamashiku, Mwamashimba, na Manga ambako chadema walipata 46% na ccm 40% cuf 12. Vyama vingine 1%.
Kwa wastani kwa mujibu wa mwanahalisi Chadema itapata kati ya 52% hadi 55 na CCM 42% hadi 46% na cuf 5 - 10% .

Kuna msemo "Dont count your chicks before they hatch"... Isije ikawa mmehesabu na mayai viza. Kila la heri kwenye ndoto za 74%...
 
Chama cha Demokrasia na maendeleo kinaweza kushinda hadi 74% kwa mujibu wa utafiti uliofanywa kwa muda wa wiki tatu na wanazuoni na baadhi ya waandishi wa habari Tz daima imeripoti leo. Utafiti huo umefanyika ktk kata zote 26. Ilieleza taarifa hiyo kwa ufupi.

Kwa upande wake mwanahalisi nao wamefanya utafiti wao na kugundua kuwa Chadema inaweza kushinda kwa 55% tu kutokana na utafiti uliofanyika kwa wiki mbili uliohusisha mjini na vijijini.

Mijini ambako kuna 50% ya wapiga kura, Chadema inaweza kupata 60 -65# na CCM 25 - 32%. Kata za vijijini kabisa CCM 60- 65% na Chadema 30 - 32% na cuf 8- 10%.
Kata ambazo chadema inakubalika ni mwisi, Igunga, Ziba, Igurubi, Chaoma, na Nsimbo. Kati ya watu kumi 6 = chadema, ccm, Cuf na wengine waligawana zingine.
CCM ina mvuto sana ktk maeneo ya kijijini hasa kaskazini ktk tarafa ya Igurugi yenye kata za Itumba, Kingiringirina, Itumba, Mbembezi na Mbutu. Kati ya watu 10 waliohojiwa 6= ccm. Maeneo haya uelewa wa watu ni mdogo sana na wengi wao ni wafugaji. Waliojibu kuwa wataichagua ccm kwa sababu ndo chama walichokuwa nacho tangu zamani. Uelewa ni mdogo kiasi kwama hawajui hata baadhi ya vyama vinavyoshiriki uchaguzi wa Igunga, utafiti uligundua.
Waandishi wa Mwanahalisi wanaripoti kuwa Chadema ina nafasi kubwa kushinda kutokana na kukubalika ktk kata zingine 8. Kati hizo kata 8 ni kata za Nyandekwa, Mwamashiku, Mwamashimba, na Manga ambako chadema walipata 46% na ccm 40% cuf 12. Vyama vingine 1%.
Kwa wastani kwa mujibu wa mwanahalisi Chadema itapata kati ya 52% hadi 55 na CCM 42% hadi 46% na cuf 5 - 10% .
too ambitions. takwimu zako zinakinyaa. nashangaa wanaokunywa. afadhali ya mataputapu.
 
yaani hapa CCM, hawana chao.. Halafu siku wabunge wote wa CDM wawe mawakala katika vituo vya kupigia kura hapo wizi na uchakuaji utakuwa hakuna....
Ku surrender wakati mwingine ni uungwana lakini Magamba bado wamekomaa tu?????
 
Jamani CHADEMA kama uchumi unayumba zindueni kapu tuchangie tuikomboe nchi yetu, tumechoka
 
Chama cha Demokrasia na maendeleo kinaweza kushinda hadi 74% kwa mujibu wa utafiti uliofanywa kwa muda wa wiki tatu na wanazuoni na baadhi ya waandishi wa habari Tz daima imeripoti leo. Utafiti huo umefanyika ktk kata zote 26. Ilieleza taarifa hiyo kwa ufupi.

Kwa upande wake mwanahalisi nao wamefanya utafiti wao na kugundua kuwa Chadema inaweza kushinda kwa 55% tu kutokana na utafiti uliofanyika kwa wiki mbili uliohusisha mjini na vijijini.

Mijini ambako kuna 50% ya wapiga kura, Chadema inaweza kupata 60 -65# na CCM 25 - 32%. Kata za vijijini kabisa CCM 60- 65% na Chadema 30 - 32% na cuf 8- 10%.
Kata ambazo chadema inakubalika ni mwisi, Igunga, Ziba, Igurubi, Chaoma, na Nsimbo. Kati ya watu kumi 6 = chadema, ccm, Cuf na wengine waligawana zingine.
CCM ina mvuto sana ktk maeneo ya kijijini hasa kaskazini ktk tarafa ya Igurugi yenye kata za Itumba, Kingiringirina, Itumba, Mbembezi na Mbutu. Kati ya watu 10 waliohojiwa 6= ccm. Maeneo haya uelewa wa watu ni mdogo sana na wengi wao ni wafugaji. Waliojibu kuwa wataichagua ccm kwa sababu ndo chama walichokuwa nacho tangu zamani. Uelewa ni mdogo kiasi kwama hawajui hata baadhi ya vyama vinavyoshiriki uchaguzi wa Igunga, utafiti uligundua.
Waandishi wa Mwanahalisi wanaripoti kuwa Chadema ina nafasi kubwa kushinda kutokana na kukubalika ktk kata zingine 8. Kati hizo kata 8 ni kata za Nyandekwa, Mwamashiku, Mwamashimba, na Manga ambako chadema walipata 46% na ccm 40% cuf 12. Vyama vingine 1%.
Kwa wastani kwa mujibu wa mwanahalisi Chadema itapata kati ya 52% hadi 55 na CCM 42% hadi 46% na cuf 5 - 10% .

Nijuavyo mie asilimia kubwa ya wapiga kura wako vijijini , huku mjini wengi huwa hatuna time. Sasa km CCM huko vijijini ina uwezo wa kupata kura 60-65, basi cdm kushinda huko ni ndoto.
 
Chama cha Demokrasia na maendeleo kinaweza kushinda hadi 74% kwa mujibu wa utafiti uliofanywa kwa muda wa wiki tatu na wanazuoni na baadhi ya waandishi wa habari Tz daima imeripoti leo. Utafiti huo umefanyika ktk kata zote 26. Ilieleza taarifa hiyo kwa ufupi.

Kwa upande wake mwanahalisi nao wamefanya utafiti wao na kugundua kuwa Chadema inaweza kushinda kwa 55% tu kutokana na utafiti uliofanyika kwa wiki mbili uliohusisha mjini na vijijini.

Mijini ambako kuna 50% ya wapiga kura, Chadema inaweza kupata 60 -65# na CCM 25 - 32%. Kata za vijijini kabisa CCM 60- 65% na Chadema 30 - 32% na cuf 8- 10%.
Kata ambazo chadema inakubalika ni mwisi, Igunga, Ziba, Igurubi, Chaoma, na Nsimbo. Kati ya watu kumi 6 = chadema, ccm, Cuf na wengine waligawana zingine.
CCM ina mvuto sana ktk maeneo ya kijijini hasa kaskazini ktk tarafa ya Igurugi yenye kata za Itumba, Kingiringirina, Itumba, Mbembezi na Mbutu. Kati ya watu 10 waliohojiwa 6= ccm. Maeneo haya uelewa wa watu ni mdogo sana na wengi wao ni wafugaji. Waliojibu kuwa wataichagua ccm kwa sababu ndo chama walichokuwa nacho tangu zamani. Uelewa ni mdogo kiasi kwama hawajui hata baadhi ya vyama vinavyoshiriki uchaguzi wa Igunga, utafiti uligundua.
Waandishi wa Mwanahalisi wanaripoti kuwa Chadema ina nafasi kubwa kushinda kutokana na kukubalika ktk kata zingine 8. Kati hizo kata 8 ni kata za Nyandekwa, Mwamashiku, Mwamashimba, na Manga ambako chadema walipata 46% na ccm 40% cuf 12. Vyama vingine 1%.
Kwa wastani kwa mujibu wa mwanahalisi Chadema itapata kati ya 52% hadi 55 na CCM 42% hadi 46% na cuf 5 - 10% .

Kumbe Thread hii umeileta ww, huwa huaminiki humu JF kabisaaaaaaaaaaa !
 
Back
Top Bottom