Utabiri wa Mwalimu unatimia: CUF lazima ife tu!

Kwa sasa Wazanzibari hawaangalii kufa kwa CUF wala CCM zaidi wanajikita katika kuisimika Jamuhuri ya watu wa Zanzibar iliyo huru kabisa! Mutake musitake kuingia kwa CUF ndani ya Serikali hapa Zanzibar mambo yamekua tofauti kwa mustakabali wa Zanzibar, Wazanzibari na Uzanzibari! Sio siri Raia wengi wamepatwa na hamu na shauku kubwa hususan katika kutaka kuikomboa Zanzibar iliyo huru! Nyinyi leteni majungu yenu munavyopenda ila ipo siku historia itakuja kuwasuta. Leo saa 10 jioni tunawaalika muhudhurie Lumumba muje mushuhudie jinsi Wazanzibari walivyokua wamoja kwa sasa, tofauti na Tawala zote zilizopita. Zanzibar Daima Mbele. Am proud to be Zanzibari! Watanganyika mwaka huu imekula kwenu, kilichobaki kwenu ni kupika majungu tu dhidi ya Wazanzibari. Nchi kwanza mambo mengine baadae. Vyama vinakuja na kuondoka lakini Zanzibar ilikuwepo, ipo na itaendelea kuwepo!
Akili yako mbovu kweli kweli, kwani ulifanya juhudi gani kuwa mzanzibar? au wazazi walifanya juhudi gani kukuzaa wewe wakiwa huko zanzibar?
 
Dawa yenu kubwa ni kuwasimamishia Jamhuri ya watu wa Zanzibar, hapo ndo mutatia akili timamu! Mutaenda kumfukua Nyerere huko aliko aje awape Tanganyika yenu. Leo mumemsikia Sheikh Farid alivyonguruma Viwanja vya Lumumba mjini Unguja? Hakuna Kero za Muungano bali Muungano wenyewe ndio KERO. Kasema "live" kabisa "Suluhisho na kiu ya Wazanzibari ni kuiona Jamhuri ya Watu wa Zanzibar"
 
Dawa yenu kubwa ni kuwasimamishia Jamhuri ya watu wa Zanzibar, hapo ndo mutatia akili timamu! Mutaenda kumfukua Nyerere huko aliko aje awape Tanganyika yenu. Leo mumemsikia Sheikh Farid alivyonguruma Viwanja vya Lumumba mjini Unguja? Hakuna Kero za Muungano bali Muungano wenyewe ndio KERO. Kasema "live" kabisa "Suluhisho na kiu ya Wazanzibari ni kuiona Jamhuri ya Watu wa Zanzibar"
sasa mnangoja nini?
 
Ila CUF bado inaamini inanguvu za kupita salama dhoruba hii waliyonayo. Nisichowaelewa mimi ni kuwa walipopata tu GNU wameona wamefika walipotaka. Kumbe jambo usilolijua ni sawa na usiku wa kiza...CCM si wajinga wajinga kiasi hicho

Hizi habari za U-CUF na U-CCM munazipalilia nyinyi kutokana na chuki zenu binafsi dhidi ya Umoja na Mshikamano walionao Wazanzibari kwa sasa. Ukiachilia mbali Vibaraka na Wachochezi hivi sasa 80% ya Wazanzibari na zaidi vijana wameshaachana na 'issue' za Kisiasa na badala yake wanajikita zaidi katika Ukombozi wa nchi yao dhidi ya Mkoloni Mweusi (Mtanganyika). Tunashukuru Wazee wetu na Masheikhe tupo nao bega kwa bega katika kutaka kuisimika Jamhuri ya Watu wa Zanzibar. Zile zama za 'Divide and Rule' kwa sasa hatutoziruhusu tena; Chambilecho Maalim Seif "YAGUJUUUUU". Zanzibar Daima, Tanganyika imekufa Dungu msooni; Tafuteni Nchi yenu halisi Jamhuri ya Watu wa Tanganyika, mambo ya Zanzibar, Wazanzibari , CCM au CUF yatakutieni Wazimu. “When the hunted knows
how to hunt, the hunting game is no
more!”
 
Kwa sasa Wazanzibari hawaangalii kufa kwa CUF wala CCM zaidi wanajikita katika kuisimika Jamuhuri ya watu wa Zanzibar iliyo huru kabisa! Mutake musitake kuingia kwa CUF ndani ya Serikali hapa Zanzibar mambo yamekua tofauti kwa mustakabali wa Zanzibar, Wazanzibari na Uzanzibari! Sio siri Raia wengi wamepatwa na hamu na shauku kubwa hususan katika kutaka kuikomboa Zanzibar iliyo huru! Nyinyi leteni majungu yenu munavyopenda ila ipo siku historia itakuja kuwasuta. Leo saa 10 jioni tunawaalika muhudhurie Lumumba muje mushuhudie jinsi Wazanzibari walivyokua wamoja kwa sasa, tofauti na Tawala zote zilizopita. Zanzibar Daima Mbele. Am proud to be Zanzibari! Watanganyika mwaka huu imekula kwenu, kilichobaki kwenu ni kupika majungu tu dhidi ya Wazanzibari. Nchi kwanza mambo mengine baadae. Vyama vinakuja na kuondoka lakini Zanzibar ilikuwepo, ipo na itaendelea kuwepo!

Kiswahili kichafu kabisa kupata kusomwa na macho yangu.

Hicho kichefuchefu unachojivunia kwa sasa na kuita ni harakati za ukombozi ni kaburi la huo Uzanzibari. Ndani ya CUF tayari tumeanza kuona Umaalim na Upemba ukivurugana, nini matumaini yako kuwa Uzanzibari utadumu wakati kuna tishio la Upemba na Uunguja?
 
Comoro leo wanaomba kujiunga na bara!!!!!!! ama sii bara Viswani wangekuwa na mapinduzi mara kwa mara!!!!

Hata hivyo visiwa hivi ni liability kubwa kwa bara kiuchumi na kisasa.... watu milioni 1 can not hold hostage 44 miliini people!

Navyoona huu Muungtano utakuja kuvunjika.... na Bara na Visiwani wajiunge na EAC kila mmoja kinyake!

Hii nishuluhisho!!! Tunahitaji serikali mmoja ya Tanzania au Muungano huu unvunjike!
 
Hizi habari za U-CUF na U-CCM munazipalilia nyinyi kutokana na chuki zenu binafsi dhidi ya Umoja na Mshikamano walionao Wazanzibari kwa sasa. Ukiachilia mbali Vibaraka na Wachochezi hivi sasa 80% ya Wazanzibari na zaidi vijana wameshaachana na 'issue' za Kisiasa na badala yake wanajikita zaidi katika Ukombozi wa nchi yao dhidi ya Mkoloni Mweusi (Mtanganyika). Tunashukuru Wazee wetu na Masheikhe tupo nao bega kwa bega katika kutaka kuisimika Jamhuri ya Watu wa Zanzibar. Zile zama za 'Divide and Rule' kwa sasa hatutoziruhusu tena; Chambilecho Maalim Seif "YAGUJUUUUU". Zanzibar Daima, Tanganyika imekufa Dungu msooni; Tafuteni Nchi yenu halisi Jamhuri ya Watu wa Tanganyika, mambo ya Zanzibar, Wazanzibari , CCM au CUF yatakutieni Wazimu. "When the hunted knows
how to hunt, the hunting game is no
more!"
Hapo kwenye bold umenifurahisha sana! Ahsante kwa kukubali kuwa ni kweli mnatawaliwa na mkoloni mweusi ambaye ni
Tanganyika....RIP CUF
 
Mwalimu gani unayemzungumzia???? Au yule mzee mpuuzi aliyesema kiongozi mzuri hawezi kutoka nje ya CCM????
 
Zanzibar wapo very strategic, though hawatafanikiwa kupata watakacho.
Wameanza kuua influence za vyama, CUF ni mwanzo and CCM is the next. Wanajaribu kutengeneza a roadmap towards new Zanzibar, ni mkakati wa wao kuwa 'taifa' ambao umeandaliwa kwa umakini sana na wasomi mashuhuri, japo pamoja na umashuhuri kuna ukweli ambao hawataki kuukiri vichwani mwao kuwa bila ya sisi kuamua kuwa kick off, hawataweza kuwa taifa.
Ila nimependa wanavyoratibu mbinu na mikakati yao katika kuielekea dhamira yao, kuna kitu cha kujifunza hapo.
 
Zanzibar wapo very strategic, though hawatafanikiwa kupata watakacho.
Wameanza kuua influence za vyama, CUF ni mwanzo and CCM is the next. Wanajaribu kutengeneza a roadmap towards new Zanzibar, ni mkakati wa wao kuwa 'taifa' ambao umeandaliwa kwa umakini sana na wasomi mashuhuri, japo pamoja na umashuhuri kuna ukweli ambao hawataki kuukiri vichwani mwao kuwa bila ya sisi kuamua kuwa kick off, hawataweza kuwa taifa.
Ila nimependa wanavyoratibu mbinu na mikakati yao katika kuielekea dhamira yao, kuna kitu cha kujifunza hapo.

Mkuu Consiglire,
Pengine nakubaliana tu na conclusion yako kuwa,wapende wasipende wenzetu waZenji utaifa wao utategemea sana influence kubwa Tangayika iliyonayo juu yake.
Historia ya Zanzibar if anything to go by,ni mwalimu mkubwa sana kwa hiyo roadmap wanayoitengeneza.
Ikumbukwe kuwa zaidi ya 90% ya wana chi wake asili Yake ni bara,tena si Tanganyika tu, bali hat a Congo , Malawi,Zambia ,Uganda,Msumbiji n.k.
Wengine, na waliokuwa watawala na wafanyabiashara za aina zote ikiwemo utumwa asili Yao si Afrika.
Na hili ndo kundi lililojikita katika CUF, hii siyo siri.
Kundi hili linapokuja na matamshi ya kijeuri na kibaguzi Kama alivyosema Naibu Katibu Mkuu Ismael Jussa hive majuzi, nidhahiri hii itakuwa wake up call kwa mustakabali wa kule Zanzibar inakoelekea.
Kwa kifupi hayo mabadiliko yanayopangwa kisiri bila ya Serikali ya Muungano kushirikishwa yatakuwa batili hadi pale wale 90% ya watu wenyewe asili ya bara wakikubaliana nayo.
 
Nyerere alisema wakati wa kumpigia kampeni Mkapa, kuwa lazima atamuona rais wa awamu ya nne, vipi huo utabiri wake umeiupenda?
 
Dawa yenu kubwa ni kuwasimamishia Jamhuri ya watu wa Zanzibar, hapo ndo mutatia akili timamu! Mutaenda kumfukua Nyerere huko aliko aje awape Tanganyika yenu. Leo mumemsikia Sheikh Farid alivyonguruma Viwanja vya Lumumba mjini Unguja? Hakuna Kero za Muungano bali Muungano wenyewe ndio KERO. Kasema "live" kabisa "Suluhisho na kiu ya Wazanzibari ni kuiona Jamhuri ya Watu wa Zanzibar"

Katika wajinga wa Dunia we ni Rais wao,hivi kuna mtanganyika anaipenda Zanzibar..?labda viongozi. kuna hadithi inasema kuvuja kwa pakacha....tunataka muishi kwa visa nvibali vya kufanyia kazi tupate mapato yetu.
 
Hakuna kitu kama Dhana. Kunadhania tu. CUF ndio muasisi wa upinzani Tanzania. CUF imewafundisha siasa za upinzani Tanzania. CUF haiwezi kufa. Viongozi wanakuja na wanakwenda lakini chama kipo. CDM cha cha kanisa mbona hamulisemi hilo?. Nyinyi lenu kubwa kuwashambulia CUF. Hapa kama tuko serious kuwatoa CCM madarakani lazima tushirikiane kama wapinzani. Zanzibar ni CUF mupende musipende. Mikoa ya pwani yote ni CUF mikoa ya kati ni CUF. Kitu kikubwa ni kubadilisha sheria zinzazohusiana na upigaji kura nauandikishaji wa daftari la kudum u la kupiga kura. Wizi mkubwa ulitokea kwenye kura zilizopita. Malori ya kura zilizokwisha pigwa yalishikwa yakivuka mpaka kutoka zambia. Mbona hamulipigii kelele hili. Nyinyi ni wapenzi wakubwa wa CCM. CDM na chama ndani ya CCM. Hahhahahahah Furaha yenu hamujui kinachoendelea kwenu munang'ang'ania Zanzibar na CUF. Smell the coffee guys.
 
Back
Top Bottom