Haiburudishi kabisa demu umemfukuzia mwaka mzima,
Kuja kumpata "Jongoo halipandi Mtungi"
hii ni mbaya unamkuta anakula tigo tena mbichimbichi...kama anao na wewe unakuhusuinafurahisha unapomfumania demu unayetafuta 7bu za kumtosa akiwa na mchizi sita kwa sita.
kuharisha hakunaga hodi,maana waweza vurugika tumbo kwa hofu kaka.Labda uwe unatumbo la kuharisha.
Inafurahisha kuona CCM wanavyopagawa na M4C
m4c ni nini?
inasikitisha sana pale unajinyea wakati umekaribia kufika chooni