inahuzunisha pale unapofariki kwenye folen ya mshahara wako wa kwanza toka uanze kazi.
inasikitisha sana unapomfukuzia demu mkali kwa muda mrefu,unafika nae kitandani baada ya ubishi mwingi,mvutano wa hapa na pale,ile umemvua tu chupi bwana mkubwa akasinzia fofofoooo!
NDOVU BARIDIIIIIIII INABURUDISHA SANA:
inasikitisha sana pale unapojinyea wakati wa interview.
we si unajua interview za kuomba kazi halafu ukute umefoji vyeti halafu katika wanaokuhoji mmoja ni kova na jicho lake na muda huo awe hana uhakika wa futari.mmh! Hivi inawezekana kweli!?
huo ugonjwa wa siku nyingi!la sovyo shughuli yake huwa ni pevu!inasikitisha sana unapomfukuzia demu mkali kwa muda mrefu,unafika nae kitandani baada ya ubishi mwingi,mvutano wa hapa na pale,ile umemvua tu chupi bwana mkubwa akasinzia fofofoooo!
Inafurahisha sana pale unaposikia anayekudai Mamilioni bila kuandikishiana kafa ghafla!