inasikitisha sana unapomfukuzia demu mkali kwa muda mrefu,unafika nae kitandani baada ya ubishi mwingi,mvutano wa hapa na pale,ile umemvua tu chupi bwana mkubwa akasinzia fofofoooo!
inasikitisha sana pale unajinyea wakati umekaribia kufika chooni
Na inasikitisha pale unapo jua demu ni bikra siku ya gwaride hadi kengele ndani!!!!
Inasikitisha sana mshaara unapochelewa kuingia na sikukuu ndio hyo(tar20)!
inasikitisha sana pale unajinyea wakati umekaribia kufika chooni
aihuzunishi, si unakua umekufa!inahuzunisha pale unapofariki kwenye folen ya mshahara wako wa kwanza toka uanze kazi.
we si unajua interview za kuomba kazi halafu ukute umefoji vyeti halafu katika wanaokuhoji mmoja ni kova na jicho lake na muda huo awe hana uhakika wa futari.