yutong
JF-Expert Member
- Apr 15, 2011
- 1,601
- 338
Waheshimiwa wana jamvi habari zenu. Hivi karibuni nataka kuagiza gari aina ya Mercedes benz ML270 kwa USD 6790 CIF Dar es Salaam, ina cc2700, Diesel, mwaka 2000.
Naomba kujua endapo nitaagiza gari hii kodi yake mpaka kuitoa bandarini itakuwa sh ngapi? Naombeni msaada wenu wataalamu wa kodi.
Kwa anayenijibu tafadhari naomba ani-tag
Naomba kujua endapo nitaagiza gari hii kodi yake mpaka kuitoa bandarini itakuwa sh ngapi? Naombeni msaada wenu wataalamu wa kodi.
Kwa anayenijibu tafadhari naomba ani-tag