Ushuru wa kuagiza Magari TRA umepanda 104% HATARI kwa siku 3 tu naomba msaada!

CONSULT

Senior Member
May 8, 2011
194
199
Ushuru wa kuagiza Magari TRA umepanda 104% HATARI kwa siku 3 tu naomba msaada ! ! !

Nissan Atlas Truck tani 1.5 Pick up ilikuwa inalipiwa ushuru sh 5,662,000= leo​

Calculator ya TRA sh 13,224,989= (CIF 3,665 USD)

Mbaya zaidi tayari nilishalipia gari iko njiani kwa ushuru niliouona na kuuhakiki hadi juzi tu 5.6mln

Invoice zipo

Naomba msaada kwa yeyote na kwa wahusika TRA

Ili niweze kulipa ushuru niliouona na kunishawishi kuiagiza hiyo gari wakati itakapofika,

Vielelezo vyote vinavyohitajika INVOICEs MALIPO vipo endapo vitahitajika..

Sababu siwezi irudisha au ku cancel. Hata hivyo hizo pesa sina..
 
Ushuru wa kuagiza Magari TRA umepanda 104% HATARI kwa siku 3 tu naomba msaada!!!
Nissan Atlas Truck tani 1.5 Pick up ilikuwa inalipiwa ushuru sh 5,662,000= leo

Calculator ya TRA sh 13,224,989= (CIF 3,665 USD)

Mbaya zaidi tayari nilishalipia gari iko njiani kwa ushuru niliouona nakuuhakiki hadi juzi tu 5.6mln

Invoice zipo

Naomba msaada kwa yeyote na kwa wahusika TRA.

Ili niweze kulipa ushuru niliouona na kunishawishi kuiagiza hiyo gari wakati itakapofika.

Vielelezo vyote vinavyohitajika INVOICEs MALIPO vipo endapo vitahitajika.

Sababu siwezi irudisha au ku cancel. Hata hivyo hizo pesa sina.
 
Mama ana upiga mwingi?

IMG_0754.jpg


Ushuru unepanda kwa sababu ya vita ya Russia na Ukraine!
 
Ushuru umepanda kabla ya mwaka wa fedha 2022/2023?
Mwezi Disemba 2020 ushuru wa magari ulipanda ilhali bunge halikupandisha kwenye bajeti yake 2020/2021

Mwezi Agosti 2021, Tozo za mafuta zikafutwa na waziri kwa maagizo ya Rais ilhali bunge la bajeti lilikuwa halijaziondoa

Mwezi Machi 2022, Rais anasema tozo za mafuta zinarudishwa kwa sababu zilifutwa kimakosa maana bajeti ya bunge ilikuwa imezipitisha tayari.

Wakiamka na kuamua ndicho kinachokuwa
 
Mwezi Disemba 2020 ushuru wa magari ulipanda ilhali bunge halikupandisha kwenye bajeti yake 2020/2021

Mwezi Agosti 2021, Tozo za mafuta zikafutwa na waziri kwa maagizo ya Rais ilhali bunge la bajeti lilikuwa halijaziondoa

Mwezi Machi 2022, Rais anasema tozo za mafuta zinarudishwa kwa sababu zilifutwa kimakosa maana bajeti ya bunge ilikuwa imezipitisha tayari.

Wakiamka na kuamua ndicho kinachokua
Nchi ya hovyo kabisa
 
Back
Top Bottom