Stanley Mitchell
JF-Expert Member
- Jan 2, 2014
- 4,576
- 4,060
TBA wakala si njaa tupu??Duuh! TRA hakuna TGS Kijana Wana Scale zao Acha Kukariri Mimi Nimeongea Na Jamaa yangu ambaye aliingia Mwaka 2016 na Akaniambia Walianza na 1.2Million Leo 2017 mnaweza Mkaanza na 1.3million scale nyingi zimeongezwa Pesa Tunaweza Tukaanza hata na 1.35Million na Siyo 1.2 ya 2016 Acha kufananisha NSSF, Bandari, TRA, TANROADS, TEMESA, TBA, BOT na Halmashauri hakuna Scale Inaitwa TGS kule