Ushauri na Mbinu Mbalimbali Kuhusu Uendeshaji wa Biashara ya Kuosha Magari (Car Wash)

Habari ukipata ushauri zaidi njoo kwangu nikutengenezeee vitabu vya receipt , form, invoice na uniform za wafanyakazi wako karibu kwa huduma
salaam aleykum waugwana....nataka nifungue car wash business..sasa naomba wazo la location ambayo ni nzuri waungwana ambapo baadae nitaweka na tyre fitting pia asanteni..naombeni mawazo kidogo....happy christmas and new year
 
Hi to everyone,and hope you do fine.

Nimefikiria kuwa na mradi wa uoshaji magari sambamba na huduma ndogondogo nyingine kama pressure n.k badala ya kutojishughulisha kabisa.

ni mradi mdogo ila nimeupenda kwani is a free risk and have low operating cost as generally nahjtaji kuwa na
1.compressor machine
2.stand by generator in case of Tanesco power off
3.water tank 250ltr kwa kuanzia
4.site/rental

kwa estimate naweza kusanya zaidi ya 30 thousands per day kwa capital kama ya 2.4millions.

haya ni mawazo yangu ktk pasua kichwa yangu.

kwa hiyo basi nawaombeni ushari wenu kuhusu hii idea ya huu mradi kama inamanufaa,vilevile nitafurahi sana kujua maeneo
ambayo ni mazuri/location kwa hii shughuli ubungo,kimara,Dar es Salaam.

natanguliza shukrani.

Inalipa zaidi ya hapo ukiwa na muda mzuri wa kuisimamia na kuwa creative naweza kukushauri more on that. Nimewahi kuifanya japo nimeshindwa kutokana na mzaramo mmoja hivi ananisumbua kweli ndiye aliyenipangisha eneo. Ukihitaji compressor uje na 1.5m ntakupa, shade smart 1.5m sim tank 5000lts ntakuba kwa laki tano.
 
Mimi ni mfanyakazi wa shirika la umma nataka kufungua biashara ambayo itakuwa inaniingizia kipato cha ziada na katika kufikiria ni biashara gani nimepata wazo la kuanzisha car wash.

Sasa nilikuwa nataka msaada kwa wenye uelewa na biashara hii kuhusu kiasi cha mtaji na vifaa vinavyohitajika ikiwezekana na gharama zake ili nijipange kufanikisha hiyo biashara.

Naahidi kufanyia kazi michango yenu ya kimawazo
 
Mimi sijui ila vitu vya umuhimu kwenye hiyo biashara ni kuwa na ile Pump ya kutoa maji kwa pressure ili kuoshea gari na ile ya kunyonyea vumbi ndani ya gari,kisha ni kujenga ile kidaraja cha kupanda gari kwa juu na itapendeza kama utapata maji ya dawasco...eneo inabidi liwe pembeni mwa barabara kuu.
 
Back
Top Bottom