Adrian Stepp
JF-Expert Member
- Jul 1, 2011
- 2,764
- 2,581
nina miaka 21, with just a diploma..nimeajiriwa like 11 months ago yani nakaa mbezi beach ,,..ofisi Kitega uchumi...kuripoti saa 1 kutoka inategemea na kazi sometimes mbaka saa 1 sasa mtoa uzi we utoto na kukaa vijiweni unakusumbua..kwanza shukuru mungu unaepushwa na majungu mtaani..hasira zako zote zitaisha ukishika mshahara and you'll be very proud..jinga xana