Ushauri: Kafaulu lakini anataka kuolewa

Ototo

JF-Expert Member
Jun 26, 2016
1,215
1,076
Wakuu habari za wakati.....!

Unaambiwa kwa mwenzako sikia ila omba yasikukute, Mimi yamenikuta na ni kitu ambacho sikuwaza.....! Iko hivi

Nina mwanangu wa kike kamaliza kidato cha nne mwaka huu kafaulu vizuri kwa div 1 kali tu...! Lakini cha ajabu amegoma kata kata kwenda shule akidai anataka kuolewa, na amemleta huyo mchumba hadi nyumbani ili taratibu zingine zifuate.

Sasa wakuu nimeshauri na kumsihi sana aachane na mawazo hayo azingatie masomo lakini imeshindikana....!

Na hasa ukizingatia ni mtoto wa kike, nimeona haina haja ya kumlazimisha sana kitu ambacho hataki..! Maana hata nikimzuia ipo Siku ataolewa tu....! Ngoja nimuache aende kupambana kwa alichokiamua...!

Ila wasi wasi wangu kama nikiamua kukubali kumuoza vipi siwezi kuchukuliwa hatua kwa kuruhusu aolewe akiwa amefaulu? Na ndo kwanza ana miaka 18, namuona bado mdogo kuingia kwenye ndoa...! Nashangaa ujasiri wa kulazimisha kuolewa kautoa wapiii....!

Sheria inasemaje kuhusu msichana aliyemaliza kidato cha nne akaamua kwa hiari asiendelee na shule, na kuamua kuolewa? Ushauri wenu muhimu sana wakuuu
 
Pole ila kama vile na wewe hueleweki vile!! Anyway, muache akasome, ukoo mzima hakuna Watu wazima wa kuongea nae? Kumuelimisha??
 
Nina mwanangu wa kike kamaliza kidato cha nne mwaka huu kafaulu vizuri kwa div 1 kali tu...! Lakini cha ajabu amegoma kata kata kwenda shule akidai anataka kuolewa, na amemleta huyo mchumba hadi nyumbani ili taratibu zingine zifuate.
Asikudanganye mtu, issue kama hizi hutakiwi kuchukulia jazba wala ulaini ulaini...

Zingatia yafuatayo...

1. HAIWEZEKANI mtoto mwenye Div I agome kuendelea na masomo eti ili aolewe...

2. HAIWEZEKANI kutumia mamlaka ya wewe kuwa mzazi kumlazimisha aendelee na masomo badala ya kuolewa.

Unadhani nimejichanganya? HELL NO, I want you to be smarter kuhakikisha anaendelea na masomo huku akizipa bye bye ndoto za kuolewa kwa moyo mkunjufu...

Nitakuja kufafanua baadae kidogo lakini ngoja nikupe hint moja wapo...

UKITAKA KUUA MBWA, MPE JINA BAYA....

NOTE: Don't target your future father inlaw moja kwa moja coz' it won't work!
 
Pole ila kama vile na wewe hueleweki vile!! Anyway, muache akasome, ukoo mzima hakuna Watu wazima wa kuongea nae? Kumuelimisha??
Mpaka nakuja kuomba ushauri hapa jua nimeshafanya yote hayo....! Na hayajazaa matunda
 
Asikudanganye mtu, issue kama hizi hutakiwi kuchukulia jazba wala ulaini ulaini...

Zingatia yafuatayo...

1. HAIWEZEKANI mtoto mwenye Div I agome kuendelea na masomo eti ili aolewe...

2. HAIWEZEKANI kutumia mamlaka ya wewe kuwa mzazi kumlazimisha aendelee na masomo badala ya kuolewa.

Unadhani nimejichanganya? HELL NO, I want you to be smarter kuhakikisha anaendelea na masomo huku akizipa bye bye ndoto za kuolewa kwa moyo mkunjufu...

Nitakuja kufafanua baadae kidogo lakini ngoja nikupe hint moja wapo...

UKITAKA KUUA MBWA, MPE JINA BAYA....

NOTE: Don't target your future father inlaw moja kwa moja coz' it won't work!
Mkuu umeniacha njia upande kwa kweli
 
Wakuu habari za wakati.....!

Unaambiwa kwa mwenzako sikia ila omba yasikukute, Mimi yamenikuta na ni kitu ambacho sikuwaza.....! Iko hivi

Nina mwanangu wa kike kamaliza kidato cha nne mwaka huu kafaulu vizuri kwa div 1 kali tu...! Lakini cha ajabu amegoma kata kata kwenda shule akidai anataka kuolewa, na amemleta huyo mchumba hadi nyumbani ili taratibu zingine zifuate.

Sasa wakuu nimeshauri na kumsihi sana aachane na mawazo hayo azingatie masomo lakini imeshindikana....!

Na hasa ukizingatia ni mtoto wa kike, nimeona haina haja ya kumlazimisha sana kitu ambacho hataki..! Maana hata nikimzuia ipo Siku ataolewa tu....! Ngoja nimuache aende kupambana kwa alichokiamua...!

Ila wasi wasi wangu kama nikiamua kukubali kumuoza vipi siwezi kuchukuliwa hatua kwa kuruhusu aolewe akiwa amefaulu? Na ndo kwanza ana miaka 18, namuona bado mdogo kuingia kwenye ndoa...! Nashangaa ujasiri wa kulazimisha kuolewa kautoa wapiii....!

Sheria inasemaje kuhusu msichana aliyemaliza kidato cha nne akaamua kwa hiari asiendelee na shule, na kuamua kuolewa? Ushauri wenu muhimu sana wakuuu
Huyo anaakili usimkatalie
 
Back
Top Bottom