Ndebile
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 7,237
- 9,872
Elimu yangu ni ya kuunga kwa gundi:darasa la saba nilisoma huku nauza mandaazi ya mama J akinilipa ujira wa sh.250 (mwaka 1987) huku nikiwatunza wadogo zangu baada ya wazazi wetu kufariki. (kama unavyoina makete kwenye tv) nilipomaliza std 7 nikaingia mtaani ambapo kila kazi nilifanya.
Miaka miwili mtaani niliokotwa na taasisi moja ya kusaidia watoto yatima ambapo nilipelekwa sekondari na kusoma hadi f2,taasisi hiyo ilikosa wafadhi nami ukawa mwisho wa kusoma! Nifupishe habari hii ikikugusa niPM....Hatimaye nilipata kozi flani inayohusiana na mambo ya afya na nimeajiliwa serikarini,mwaka juzi nilifanya mtihani wa kidato cha nne kama private candidate ambapo nilipata dv III,sitaki kuongeza chumvi kwenye habari hii ili nisaidiwe,nilijisomea bila mwalimu na kwa miezi saba tu(walimu waliyenisaidia ilikuwa ni kwenye practicle za biology,chemistry na physics)math niliweka namba tu kwenye paper. Kumbuka nimeajiliwa na majukumu ya familia(nina watoto wawili)
Baada ya kukamilisha kusimamia ujenzi wa ka-kiabanda kangu ka kuishi nimeanza kujisomea bila mwalimu masomo ya A-Level, combination ninayochukua ni PCB,nina recources za kutosha japo sijawahi kuvaa suti lakini kwenye kununua vitabu sina ubahili. Nataka mwaka 2013 nifanye NECTA Je,nitamudu? Nishauli kama ulishawahi kuona kitu hiki,hata kama ni kunikatisha tamaa we sema tu
Miaka miwili mtaani niliokotwa na taasisi moja ya kusaidia watoto yatima ambapo nilipelekwa sekondari na kusoma hadi f2,taasisi hiyo ilikosa wafadhi nami ukawa mwisho wa kusoma! Nifupishe habari hii ikikugusa niPM....Hatimaye nilipata kozi flani inayohusiana na mambo ya afya na nimeajiliwa serikarini,mwaka juzi nilifanya mtihani wa kidato cha nne kama private candidate ambapo nilipata dv III,sitaki kuongeza chumvi kwenye habari hii ili nisaidiwe,nilijisomea bila mwalimu na kwa miezi saba tu(walimu waliyenisaidia ilikuwa ni kwenye practicle za biology,chemistry na physics)math niliweka namba tu kwenye paper. Kumbuka nimeajiliwa na majukumu ya familia(nina watoto wawili)
Baada ya kukamilisha kusimamia ujenzi wa ka-kiabanda kangu ka kuishi nimeanza kujisomea bila mwalimu masomo ya A-Level, combination ninayochukua ni PCB,nina recources za kutosha japo sijawahi kuvaa suti lakini kwenye kununua vitabu sina ubahili. Nataka mwaka 2013 nifanye NECTA Je,nitamudu? Nishauli kama ulishawahi kuona kitu hiki,hata kama ni kunikatisha tamaa we sema tu