THK DJAYZZ
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 2,167
- 175
Yap ! Good to go.
Umetoa ushauri mzuri sana mkuu..
Kwa clouds..
Huo ushauri uliowapa we sio wa kwanza kuna watu wameishawaketisha nakuwapa somo lakini wapi,kiburi cha mafanikio kimewapofusha na sasa hawatazami tena hali halisi ilivyo wamejigeuza sikio la kufa..lile tukio la jumamosi la vinega lilivyoshona watu ilikuwa ni ujumbe tosha walikuwa wanapelekewa kwamba kuna vitu wanafanya haviko sawa,na watu wamewachoka na ujanja ujanja wao uliopitiliza. Tatizo wanaamini wao ndio wajanja kuliko watu wote hapa mjini,wamesahau tabia ya wabongo wakishaamua kumpotezea mtu kuwarudisha tena ni ishu.
Kuhusu Sugu..
Umempa ushauri mzuri kiasi chake,lakini hamna kitu sifagilii kama kumwogepesha kiongozi asifanye jambo nyeti eti kisa litamnyima kura uchaguzi ujao.mabadiliko tunayaitaji sasa, sio tujenge mfumo wa kuishi kwa kuvizia kura.
Unazi ni kitu kibaya sana. Unaweza kukufanya hata mavi uyaone keki.
vinega kwa kazi!!!!!!!!!!!!!!!!!!safi sana rasta!!!
·
Joseph Mbilinyi
TAARIFA:NASKIA LEO JAMAA WAMEAMKA NA JIPYA,KWAMBA SHOW YA VINEGA ILIKUWA MATUSI MATUPU!
KWANZA SIO KWELI NA TUNATOA DVD NA UMMA UTAONA NA KUHUKUMU MANENNO YAO,PILI HIVI KUNA RADIO INA LUGHA CHAFU NA MATUSI KAMA CLOUDS FM??!!KWA MFANO TU,NI WAO WANAOPROMOTI UPUUZI UNAOITWA 'KANGA MOJA',YALE NI NINI KAMA SIO MATUSI NA UPOTOSHAJI WA MAADILI ULIOMBATANA NA UDHALILISHAJI WA WATOTO WA KIKE??!!
O
Hivi hamjui zilipo ofisi za Clouds?
so what?
vinega ni aina ya ndege watamu sana nakumbukia enzi zilee tunawinda kwa kutumia ulimbo mitaa ya mikocheni kabla hakujavamiwa na mapedeshee!!!!!!
Jamaa hajui hata etiquette za uandishi.
Hivi Sugu kakukosea nini? Mbona unamsakama sana? Au na wewe ni virus?
So you can take your unsolicited advice over there instead of putting it here. Y'all scared or something?
Haya ndio madhara ya kubeba mabox mpaka ukubwani, akili zako ni shake well before use, weka mbali na watoto, yaani ni half empty glass.Mimi ni anti-vinega na pro-clouds media group.